Its Mothers’ Month

2015-05-07 17.03.36Hapa ni Neema Musira (last born) na mama yake. Mama Musira ni mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia ya mama yangu mzazi. Pia yeye alikuwa kama mama mlezi wa mama yangu wakati pindi alipo kuwa akisoma Rugambwa Secondary School.

FB_IMG_1431032374664Hapa ni Makubwa, mimi, na da Eddie (1st born wa makubwa) back in 2010 Nilipo enda wasalia ndugu zangu wa Musoma baada ya kutoka kusalima ndugu zangu huko vijijini Utegi na Kowak.

FB_IMG_1431032356626Nani kama mama?!

Leave a Reply