Nitarejea ….!

Hello wapendwa wasomaji wangu, poleni kwa kutokua nanyi toka mwaka 2022 uanze. Nitarejea muda si mrefu, kuna plugins ambazo zinatakiwa ziwe updated lakini kila nikijaribu zinaleta shida kwa blog. Hivyo WordPress na Godady wanashughulikia. Yani hata hapa nafanya majaribio.
Asanteni sana kwa uvumilivu,mbarikiwe sana.

Leave a Reply