Pole sana Said!

screenshot_2016-10-07-14-11-58-1fb_img_1472436063790What a sad story!……..Kwakweli hii habari imeniuma sana. Nilikuwa sijawahi isikia nilep hii ndio naiyona. Kusema ukweli binadamu tumekuwa viumbe hatari sana si tu kwa wanyama na mazingira tunayo ishi bali hata kwa binadamu wenzetu! How cold is this??!! ……..eeh Mungu tusaidie sisi viumbe vyako shetani ametawala si tu akili zetu bali hata roho na mwili! Tunakuhitaji Baba tusaidie!…..,,,, Pole sana Said Mungu akupe uwezo wa kukubali hali yako mpya na uwendelee na maisha??

Leave a Reply