Pumzika kwa amani Mwalimu Boaz Chumo!

Kwaniaba ya familia ya mzee Otieno Olung'a Igogo wa Utegi, Rorya, Mara. Naomba kutuma salamu za pole wa.msiba wa Mwalimu Boaz Chumo uliotokea leo katika hospitali ya Muhimbili majira ya asubuhi (masaa ya Africa mashariki). Salamu hizi za pole ziifikie familia ya marehemu mzee Boaz Chumo, ndugu wa marehemu, marafiki, pamoja na walimu na wanafunzi wote waliofanya kazi au kufundishwa na Mwalimu Chumo pale C.B.E  Marehemu Mwalimu Boaz Chumo enzi za uhai wake! Bwana alitoa na Bwana ametwaa lihimidiwe jina lake milele zote ? Marehemu Mwalimu Boaz Chumo akiwa na mkewe wa pekee Mrs Julita Chumo!..... Pole sana aunt kwa msiba Mungu awe nanyi wakati wote hasa katika kipindi hichi cha maombolezo. R.I.P uncle.

Leave a Reply