Rwanda has started legislative process to Make Swahili one of the official languages!

Hon. ShyRose Bhanji

Presenting the Motion to congratulate Rwanda for Starting a legislative process to make Kiswahili one of the official languages in Rwanda. This is highly commendable move and should be strongly supported by all stakeholders who have EAC integration at heart. #Kiswahili #OnePeopleOneDestiny …. #Nikiwasilisha Hoja bungeni ya kuipongeza Rwanda kwa Kuanza mchakato wa kutunga sheria ya kukifanya Kiswahili kuwa moja ya lugha rasmi nchini Rwanda. Hatua hii inahitaji kuungwa mkono na wadau wote ambao ni waumini wa mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. #UmojaWetuNiNguzoYetu

#EalaInKampala

Leave a Reply