Stop It!

Kama una mtu au ndugu yako anapenda kwenda kwa Sangoma au kwa Kalumanzila ili apate fedha ndefu; naomba umsihi kuwa siyo deal at all!! Wana tuulia Albino wetu bila sababu. Kwanza kwenye list ya billionaires wa Bongoland mbona hao waganga hawapo?! Sasa wewe kwanini unamwamini mganga ambaye hata kwa Madiba hajawi fika? Its time to stop it!!

Albino

Leave a Reply