Tanzania oyee! #Hapa Kazi tu! #ACACIA

Huu ushindi wa kishindo kikuu ni wakufurahiwa, kushangiliwa, na kujivunia kwa kila Mtanzania mzalendo mwenye mapenzi mema na nchi yetu! Tanzania oyee! Napia nampongeza sana baba yangu Dr Mgufuli kwa kusimamia kidete alichokiamini kuwa ni haki yetu sisi Watanzania japo  alipata kebehi nyingi lakini hakubadili msimamo wake! Thank you Dad ake, you made us so proud! ?? ………..Umeandika history kubwa sana katika uongozi wako na uzalendo kwa taifa lako! Ubarikiwe sana……… 

#Mungu ibariki Tanzania #Mungu ibariki Africa

Leave a Reply