What a tribute! Hongera Diamond!

screenshot_2016-09-19-07-23-38-1fb_img_1472436063790Hongera sana Chibu Dangote umetisha sana “mnyama”! Mie kwakweli nimezipenda zote ila kama nataka ku-dance kisawa sawa then version ya Saida karoli ndo nitaiweka kwani ile migoma na midundo inaniinua kwenye kiti! Lakini kama nataka just to have a little fun na kucheka na marafiki zangu basi version ya Diamond ndo nitaiweka! Mwanangu yeye amependa zaidi version ya Diamond! ………but in general BRAVO! Very well done! Btw, napenda sana yule Harmonize ana nyimbo zenye ujumbe mzuri sana. I love him as well!……. Gosh! Where is my brother Ali Kiba jamani! Aje basi! Mie sina timu I enjoy kusikiliza nyimbo za Diamond more lakini nawapenda wote. Kiba mtoto wa mtaani kwetu tumekuwa wote so he’s my brother and I will always be his fan!!

Leave a Reply