“Tusikubali mama yetu Tanzania kusambaratika”- James Mbatia

Screenshot_2016-08-13-18-35-02-1FB_IMG_1469659269564Tanzania kwanza, vyama nyuma! Tunahitaji democracy ndani ya Tanzania lakini amani yetu ni kipaumbele number moja! Simtetei Rais Magufuli hapana, lakini lazima tukubali kumpa nafasi ya kufanya kazi! Mfumo wa nchi ulikuwa umeoza, na yeye anataka kuubadilisha kwa kuanzia na nidhamu ya kazi na ufisadi. Basi haya mambo ya siasa kila kukicha yanazidi kuturudisha nyuma!  ……… Mimi na Tanzania, wewe je? Tafakari!

Leave a Reply