Ugua pole mama yangu Janeth Magufuli!

screenshot_2016-11-10-07-27-31-1Pole sana mama! Naomba Mwenyezi Mungu akupe uponyaji wa haraka. Urudi katika afya yako njema kama ilivyokua mwanzo ili ukapate kuendelea kutekeleza majukumu yako kama mke, mama, na mtumishi wa jamii yetu zaidi ya yote ukapate kuendelea kulitukuza jina lake! Get well soon mama. I love you!

Leave a Reply