“Wabongo hua tunajitoa tu ufahamu lakini tunaujua ukweli tunapouona” ~~~~~~~LeMutuz

LIVE STRAIGHT TALK:- www.lemutuz.com ..."Le Mutuz Online TV" .....ni KAZI JUU YA KAZI yaani Bampa to Bampa ...leo tunaendelea na AWAMU YA PILI ya kufunga Studio's Equipments at Downtown.

Itakuwa ni kazi ya almost Wiki nzima ijayo ...I mean guys it what it is ...ila naomba niseme one thing tena on a very serious tone kumbe Wabongo wanapenda maendeleo ya kweli cause I am a Super Media Man na moja ya kipaji changu namba moja ni I am the best Observer na ndio maana nilipokuwa nasomea Criminal Investigations niliwasumbua sana Wazungu Darasani kule USA cause observations ni my thing that looking at the Facts available I can detect anything Good or Bad before they happens

Now my point is ili niuze my Social Media business ni lazima nijitangaze as I do now nilichogundua ni toka nimeanza mambo ya kujenga Studio mpaka leo sijaona tusi hata moja kuhusiana na the process au hata neno moja tu negative ....ina maana moja tu kwamba kumbe Wabongo hua tunajitoa tu ufahamu lakini tunaujua ukweli tunapouona yaani tunapenda maendeleo ya kweli ila hatupendi Blah! Blah! ....

Na hili somo nilijifunza zaidi last year from @darassacmg alipopiga ule "WIMBO WA TAIFA" na kuwafanya Wasanii wengi wenye maneno mengi waonekane waigizaji na I am also trying to tell you guys hasa Vijana wadogo kwamba unaweza ukadhani waliolkuzunguka wanakuchukia kumbe ni kwa sababu wanakuona huna maendeleo wala huna mabadiliko upo upo tu kama ulivyokuwa Mwaka jana na Mwaka huu upo vile vile hubadiliki kazi kulalamika tu! Pigana piga kelele utasaidiwa tu hakuna mtu anayetaka kusaidia mtu asiyeonyesha hata dalili ya kutaka kusonga mbele kwa matendo wachana na maneno ya "NINA IDEA" cause kuwa na idea bila mfano wa matendo ni sawa na huna kitu upo ground zero ....Idea then Plan A ikishaonekana watakuheshimu tu na kukusaidia.

Unaweza kunisikiliza au ukaniachia mwenyewe ila nimejifunza kwamba Wabongo wanapenda mendeleo na wakiyaona hawahitaji kuambiwa wanayajua...Asubuhi Njema Guys! - le Mutuz Nation

Leave a Reply