Wema Sepetu: Alafu sasa bado kuna wabishi watabisha

Regrann from @wemasepetu – Ninapokuita Mtetezi wa wanyonge Ninakuaga na Uhakika wa asilimia zoooooote… Alafu sasa bado kuna wabishi watabisha… Jamani eeh nasema hivi, “Kuna kufanya na Kuna kuthubutu…” Nini huwa kinaanza kati ya hayo mawili…??? Tunaanzaga kwa Kuthubutu alafu ndo tunafanya…… Kaka angu hapo juu, (sina haja ya kumtambulisha) alipothubutu kuliingilia swala zima la janga la kuuziwa makazi na malazi ya watu mbali mbali tena na mahakama wengi wenu mlimbeza na kurusha maneno ya kila aina… Oooh anakurupuka, oooh hana mamlaka, oooh HATOWEZA… Oooh Tutaona… Nadhani leo hii mmeinamisha vichwa chini kwa aibu… Na mimi nasema Aluta Continua… The Saga Continues.  Mwenyewe anasemaga kitu kimoja… Ametumwa kutetea wanyonge… Sio Mungu yeye wala Malaika kusema kwamba atafanya kila kitu Perfectly… Ila kwenye ukweli pasemwe ukweli… We are Blessed to have you as Our RC… Iko siku wataelewa tu… Na watakuwa wameshaelewa sema si unajua UBISHI ndo jadi yetu… Sana sana sisi Wana Mkoa wako… Umesaidia wengi sana na unazidi kuendelea kufanya hivyo kila iitwayo leo… Mungu anazidi kukupigania Mtumishi wake… Akupe Uhai mrefu… Uzidi kuona Juhudi na Uthubutu wako ukizaa matunda.Wana Dar tunakupenda sana… Mungu Ibariki Tanzania..

Mungu Ibariki Africa..

Mungu Mbariki RC Wangu..

Mungu Mbariki Rais Wangu…

Viva RC Viva…

@paulmakonda @paulmakonda @paulmakonda @paulmakonda

#IkikuchomaImeruhusiwa…??? – #regrann

Leave a Reply