Category Archives: Siku ya mtoto wa kike duniani!

Imbumba Yamadoda: What I am doing for myself I am actually doing it for you! And what you are doing for yourself you also doing for me!

A must watch to all African men!! Hii video niliiona almost two months ago, but nikawa nasubiria a “proper” day kuiweka. Sasa kwakuwa bado tupo kwenye furaha ya maadhimisho ya mtoto wa kike duniani basi nimeona ni vyema kuiweka! Kwakweli huu ni ukweli kabisa! Watoto wa Africa haswa wakike wamewekwa kwenye “pressure” of how to become a good citizens, great mothers, wives, sisters, and aunties bila kujua kuwa it always takes two to tangle!! Unakuta mtoto wa kike very well organized mentally, spiritually,  physically, na hata financially lakini anaangukia kwenye mikono ya mwanume asiye jielewa kabisa!! Mnyanyasaji na mambo mengi ambayo yanafanya maisha yao kutokuwa na furaha! A totally unprepared man for familyhood!! Na ukijaribu kuuliza hawa wadada utasikia ma’am! “All men are the same”!! Hivyo hakuwa na chaguo zaidi ya ku settle down for less!! ………Wazazi, waleeni vijana wenu ukijua kuwa kesho atakuwa mume wa mtu, mmoja ya wana jumuiya hivyo lazima awe teyari kuwa good citizen! Kuwa na hela doesn’t make someone a good citizen or good husband tabia yake na malezi ndio vitaeleza huyo kijana wako ni mtu wa namna gani! Nimeona vijana wenye pesa na ni wanyanyasaji wa wanawake mpaka inaogopesha! Wengine ni rapists and molesters! Tuwalee watoto katika njia ipasayo ili wasiwe mzigo kwa wengine na taifa analo ishi ni jukumu lako wewe kama mzazi!

 

Siku ya mtoto wa kike duniani: “Thamani ya Binti Na Uongozi wa Maadili”

“Thamani ya Binti Na Uongozi wa Maadili”  “Mcis Kelvin kutoka skonga kushoto Katikati ni Dada Glory kutoka @mwanamke_na_uongozi Mwisho ni @temidayo_gm Photo credits. @timesfmtz”

Flaviana Matata: The truth is that we can only unleash the power of young girls through access to quality and safe education.

“Today is #InternationalDayOfTheGirl and the focus is on the power of adolescent girl. The truth is that we can only unleash the power of young girls through access to quality and safe education. I am here with one of our scholars Nyamizi who is in her last year of high school. Young girls like Nyamizi have the potential to be scientists, teachers, farmers, artists, mothers, but that is only possible if they are provided with a conducive environment to thrive. @flavianamatatafoundation strongly believes that an educated girl will be a better mother that will nurture and raise her children to be better citizens. Educating a girl is a smart investment because it’s an investment into the prosperity of communities and nations. #FlavianaMatata”

Ridhiwani Kikwete: #sikuyamtotowakike; Huyu ni Binti yangu. Furaha yangu Ukamilika ninapomuona amefurahi

“#sikuyamtotowakike Huyu ni Binti yangu. Furaha yangu Ukamilika ninapomuona amefurahi. Namuona Mama,Namuona Mlezi, Najiona Mimi , Ninaiona Tanzania. Nakupenda sana Mwanangu.”~~~~~~ Mbunge. Ridhiwani Kikwete

Siku ya mtoto wa kike duniani: Tokomeza mimba za utotoni kufikia uchumi wa viwanda

“Kinachoendelea muda huu hapa Tarime, kongamano linalohusisha Wazee wa Mila, watoto wa kike, na wadau wa Maendeleo – Siku ya mtoto wa kike 2017 ni ??… Unapitwaje jamani.. kauli mbiu ni “Tokomeza Mimba za Utotoni kufikia uchumi wa viwanda.. Wewe unawalinda vipi watoto ???? Ni jukumu letu sote ?” Joyce Kiria