A measure of a man!

fb_img_1477457094286fb_img_1472436063790Tabia ya mtu utaijua vizuri pale anapo kuwa hana kitu na pale anapokuwa ana pesa! Je binadamu wote kwake ni sawa? Au? ……..Jamani ipo siku nitawasimulia story yangu na experience yangu ya Watanzania hapa Marekani na pia na ndugu ambao hawaoni thamani ya undugu wako kwao mpaka pale wanapoona kuna kitu “kinang’aa” kwako!…….Ee Mungu endelea kumbariki huyu baba!

Leave a Reply