Would you attend your ex’s parents funeral?

screenshot_2016-10-25-22-44-53-1???? Jamani huko Instagram ni kuna vihoja kha! Nimekutana na haya maswali kutoka kwa huyu kaka ambaye ni Muandishi wa vitabu kuhusu maswala ya Relationship. Maswali haya ukiyasoma kwa juu juu bila kutafakari utaishia kucheka tu! Lakini ni maswali ya msingi sana!………. Mie nasema inategemea katika maswali yote mawili! Ninaposema inategemea ni kutokana na sababu kuu mbili:- (1) kama kuna watoto wapo involve na hao watoto ni under age! Nakumbuka nilimpelekaga mwanangu kwenye msiba wa babu yake mzaa baba na shangazi yake kwasababu alikuwa bado yupo under 18 pia babu yake alikuwa ana nipenda sana so do the shangazi….. (2) mahusiano tuliyokuwa nayo huko nyuma yatachangia sana mimi kwenda. Sasa hapo kama hatuna watoto alafu tulizinguana basi nitasema ACHA WAFU WAZIKANE ??  Don’t get mad at me! Someone is “EX” for a reason ??…………. What about you? ……. Soma maoni ya wengine! screenshot_2016-10-25-22-45-20-1screenshot_2016-10-25-22-44-44-1

Leave a Reply