The diary of Lady Jaydee is coming back!!

I’m super happy, the legendary’s reality TV show is coming back!!! #DiaryOfLadyJayDee! Can’t wait to watch it!!…. Yani kipindi kile ilipokuwa inaanza nilikuwa likizo Dar, nilikuwa nakitazama kila siku kilipokuwa hewani sikupitwa! Na ile scene ya mwisho wakiwa Arusha na X-husband wake pamoja na “Machozi” band ndiyo nilianza kuhisi something is seriously wrong kwa ndoa yao kwani things didn’t add-up!! Well, yote maisha tu! Happiness is what matters! …….Jamani tumpe support our JayDee najua sponsors wakubwa watajitokeza sana kwani nakumbuka mama Anna Mkapa alikuwa big fan wa show yako na alikuwa akiitangaza sana! Well done Jide keep it up!

Leave a Reply