Eli baptism

Waacheni watoto wote waje kwangu kwakuwa ufalme wa Mbinguni ni wao; hayo ni maneno yake Mungu mwenyewe alitusihi tuwapeleke watoto kwake kwani ndipo wanapostahili kuwepo kwa usalama zaidi! Basi siku ya jana mtoto Eli alipelekwa mbele za Mbingu na kupokea upako mtakatifu wa kumkabidhi maisha yake kwa Yesu!  Eli ni mtoto wa my brother Kevin and Laura from Wichita, KS. Huyu ni mtoto wao wa pili. Mungu awakuzie, awalinde, na kuwabariki watoto wenu na familia yenu kwa ujumla! Kevin akiwa amembeba mtoto Eli!.....Kwafaida ya wasomaji wangu, huyu kaka yangu Kevin a.k.a KB (Kevin Bwahama)  ndio alikuwa my very first neighbor hapa Marekani, in Wichita, Kansas. Nyumba zetu zilikuwa zinatizamana, alikuwa ananijali as his little sister tumeishi kwa upendo sana. Namshukuru sana Mungu kwa kunipa some few good friends ambao hata mida ambayo nakuwa sina imani na Wabongo  nikiwaona watu  kama akina brother Kevin napata a little bit of hope to try to trust again! Asante sana kaka yangu for being there for me. Mungu azidi kukubariki sana. I'm sure your wife got the best man, such humble caring man! Japo kishingo upande lakini inanibidi niseme Yes! Is another good Muhaya ?? ......Btw, kwa wale mnajua story ya Notorius BTK leader miaka kama mitatu hivi baada ya kuhama Wichita aligundulika kuwa alikuwa anakaa mtaa wa pili toka kwenye nyumba zetu ??? Scary! Nafikiri ulikuwa inaitwa Hydraulic / Douglas       Mbarikiwe sana wapendwa! Ngoja nifurahie baby Eli na huu wimbo

Leave a Reply