Happy birthday Hoyce Temu!

Leo wamezaliwa wanawake wa nguvu,  wanawake washoka,  malkia wa nguvu, fahari ya Tanzania. Siku ya kama ya leo katika nyakati na majira tofauti walizaliwa vipenzi vyetu Jokate na Hoyce. Kama wote mumjuavyo Hoyce siyo tu ni mwanamke wa Kitanzania bali ni moja ya hazina ambayo Tanzania inajivunia kuwa nayo! Hivyo tunamshukuru Mungu kwa kutuletea hichi kiumbe katika ardhi ya Tanzania. Tunaomba aendelee kututunzia na kumiminia neema zake. Happy birthday the Queen of Tanzania. Enjoy your day ?❤

Leave a Reply