Heshima yangu kwa walimu wote duniani!

fb_img_1475719937795img_20161005_125547fb_img_1472436063790Leo ilikuwa ni siku ya walimu duniani. Nawashukuru na kuwapongeza walimu wote katika dunia hii! Nilishawahi kusema kuwa uwalimu ni wito na karama ya pekee sana ni wachache walio jaliwa nayo. Mimi sikujaliwa ma karama hiyo?? hivyo I salute all great teachers around the globe including my uncle / baba yangu mkubwa kwenye picha hapo juu ? Mzee Joseph Musira (me wa mama yangu mkubwa, first born wa kina mama). Yeye ni Mwalimu mstaafu na pia alikuwa Mkurugenzi wa elimu kwa diocese ya Musoma kwa zaidi ya miaka 20! Yeye ndiye mlezi wa mama yangu pindi mama yangu anasoma secondary kama maelezo yake uanavuosema hapo juu. Vile vilealikuwa mlezi wangu wakati nasoma Kowak Girls Secondary school.  Kwakua yeye alikuwa Mkurugenzi wa elimu Mkowa wa Mara kwa shule zote za Roman Catholic basi kila Mwezi alikuwa anakuja shule hivyo ilikuwa ni rahisi kwani wazazi wangu walikuwa wanaishi Dar es salaam……….Namtakia maisha marefu zaidi na amani tele. Mungu bariki walimu wote dunia.  Happy Teachers  Day to baba mkubwa and all other teachers!

Leave a Reply