Hongera Dr. Tulia Ackson (Naibu Spika)

PIX2-1Hongera sana Dr. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge 11 la serikali ya 5 ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwakweli binafsi nilitamani sana wewe ndiwe uwe Spika wa Bunge hili, lakini naona uzowefu umewekwa mbele bila kujali uwadilifu! Serikali ya Tanzania inakataza watu wasijichukulie sheria mkononi lakini serikali hiyo hiyo kupitia watu hao hao wanatunga sheria tunaona wanamtunuku mtu aliyekosa maadili ya uwongozi kuwa Spika wa Bunge! Kiongozi ambaye anajichukulia sheria mkononi?! Sijui wanafundisha nini taifa hili! SMH!

Anyway, it is what it is life goes on! Hongera sana na kila la kheri katika utumishi wako wa umma!

Leave a Reply