Hongera Mh. Kassim Majaliwa Kassim (PM)

IMG-20151119-WA0000Hongera sana Mh. Kassim Majaliwa Kassim kwa kuteuliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Waziri Mkuu katika serikali ya awamu ya tano. Japo wengi hatujawahi hata kukusaidia lakini ushuhuda wa watu walio wengi haswa wabunge wenzako inaonyesha wewe ni chaguo sahihi kwa inchi yetu haswa kwa wakati huu! Nakutakia kila la kheri katika uwongozi wako.

Nampongeza sana Rais Dr. Magufuli uteuzi huu kwani ameweza kuonyesha kuwa yeye analeta CCM ile ya baba wa taifa!  CCM ambayo hakuwa na makini wala viongozi ambao wanadhani wana Hati miliki ya inchi! Naona yale majina ya wanasiasa ambao walifanya cheo / madaraka ni mali ya familia au ukoo sasa yataanza kupoteza. Hongera sana Rais kwa ushujaa wako wa kuvunja nguvu zao pamoja na makundi ambayo yanaigawa Tanzania!

Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Africa na watu wake.

Leave a Reply