Hongera sana Dr. Mwele Malecela! -Alpha Igogo

Kulia nataka na kucheka nashindwa kwani it’s a “Bittersweet moment” kwa Watanzania wazalendo! Kuondolewa kwako kulituumiza sana kwani wengi tunajua dhamani yako na umuhimu wako kwa taifa la Tanzania! Soma hapa ? Dr.Mwele Lakini kama wasemavyo Mungu si Athumani, na kamwe Mungu hamtupi mja wake; basi hatuna budi kusema hongera sana Dr. Mwele kwa kazi yako mpya kwenye shirika la afya duniani -WHO (Africa)! 

Mungu akuongoze na akubariki katika kila jambo jema ulitendalo. I’m very happy for you! Just go and shine-out as you always do! Congratulations! 

Leave a Reply