Dr. Mwele ni hazina ya Tanzania!

screenshot_2016-12-17-02-40-34-1Ngoja niende moja kwa moja kwa mada husika! Sina hakika nalo lakini inasemekana kuwa Dr. Mwele hakufuata “protocol” na ndio maana ametenguliwa nafasi yake!……Nakubali hilo ni kosa lakini si kosa la JINAI hivyo naamini bado Dr. Mwele anafasi kubwa sana ya kutumia taifa kupitia serikali ya Dr. Magufuli kwani Dr Mwele IS ONE OF THE VERY FEW BEST ASSETS WE HAVE IN THE COUNTRY! Yani natamani nafasi ya Ummy Mwalimu itenguliwe apewe Dr. Mwele as she deserves it so very much! Watu huwa wanafanya makosa lakini kuna watu wachache sana wanaohitajika kupewa second chance na Dr. Mwele ni mmoja wao! Natumaini my baba Dr. Magufuli ataangalia hili swala kwa maslahi mapana ya taifa letu na dunia kwa ujumla!

One thought on “Dr. Mwele ni hazina ya Tanzania!”

Leave a Reply