Joyce Kiria: Maisha ya Ndoa bana yana mambo jamaniii mwee……!

Joyce Kiria

Maisha ya Ndoa bana yana mambo jamaniii mwee, unaanza vizuuri kabisa kuwa “Mke” mtamuuuuu, kisha Polepole unakuwa “mama Fulani” Mke wa mtu, kisha taratiiibu unakuwa “Mlinzi” baadae “mlezi” kuna “mtunza nyumba” kuna “Mpishi” kuna “mfuaji” kuna “furniture” uuuuuuwwwwiiii nkinkiiii ruwa mangiiii ?? (Usiombe Mume awe chini ya Miaka 45?) utashaaaaaaaaaa…. — Jipe tuu Furaha mwenzangu, tuishi kama single flani amazing, akiwepo sawa akisepa sawa, tusingoje Furaha Toka kwa Mwanaume.. Tutaiskia kwenye filamu! Akili za usiku #NaesabuBati ?? #NikoDirishani ##AnatokeaWapiNifungueMlango

ASANTE SANA @didavitengewear kwa mwonekano wa kitenge… @rosebrazilian kwa Nywele… Twende SAWA… Kama una neno lolote weka hapa

 

Leave a Reply