LeMutuz: cha ajabu ni wasiokuwa na akili kabisa ndio katika hii new generation wanakuwa maarufu sana na kukubalika sana na Public

EXTRA LIVE STRAIGHT TALK:- ...Mwanamke Shujaa ...Mwanamke Jasiri ...Miss Tanzania 1999 na Balozi Maalum wa Umoja wa Mataifa Tanzania @hoycetemu ...unfortunately Dunia inapitia transition ya One Generation to another .....in our new generation ni Wadada wasiokuwa na Maadili, wasiokuwa na heshima, Wanaogombania waume za watu in the Public, wanaotembea nusu uchi, wanaojua kutukana sana matusi in the public, wasiokuwa na pa kuishi, wasiokuwa na kazi, na cha ajabu ni wasiokuwa na akili kabisa ndio katika hii new generation wanakuwa maarufu sana na kukubalika sana na Public Ila sio tena wadada wanaojitambua kama wewe ambaye una Mume, una Familia, una kazi inayojulikana, unapigana kusaidia Jamii, una pa kuishi pazuri, unaheshimika kwa jamii inayokuzunguka una elimu kubwa ....Wadada wenye Maisha kama wewe hushambuliwa left and right na Wadada wasiokuwa na Maisha ambao hushangiliwa sana na Public ya wasiokuwa na Maisha kama washambuliaji ...yakikutokea hayo ya kushambuliwa na our "DEAD LIVING DOGS" usijali kumbuka hata kwenye Biblia Wana wa Israel walipopewa Choice ya kuchagua nani asulubiwe kati ya binadam mwenye Maisha Yesu au yule Jambazi asiyekuwa na Maisha Barnabas walimchagua Jambazi asiyekuwa na Maisha kama wao ndio maaa hata leo Dada mwenye Maisha kama wewe anashambuliwa na wasiokuwa na Maisha na wanaoshangiliwa na wasiokuwa na Maisha wenzao USISHANGAE WALIMFANYIA HATA YESU ...kumbuka siku zote kuwa UKISHANGILIWA NA MUNGU lazima utachukiwa na Shetani ambaye ana watu wengi sana hapa Duniani ila endelea kupigana kukubaliwa na Mungu na kuwa mfano kwa Jamii....Salute @hoycetemu I LOVE U MY SUPER SISTER! - le Mutuz

Leave a Reply