LeMutuz: vijana wadogo sana wanaojaribu kutafuta muongozo wa maisha nyuma yenu kuna vijana ambao majumbani mwao na familia zao hakuna muongozo bora wa maisha ndio sababu wapo Instagram kujifunza

 LIVE STRAIGHT TALK:- The Art of peace hii picha ni kumbukumbu sana ya siku ya pili ya kuanza kwa mahusiano yao yaani @diamondplatnumz & @zarithebosslady na jana Instagram nzima tumeshuhudia mambo yasiyokuwa ya kiungwana baina yao...my appeal to both of them ni spare us your close friends and your fans cause wote kwa pamoja mna wafuasi Millioni 7 wengi ni vijana wadogo sana wanaojaribu kutafuta muongozo wa maisha nyuma yenu kuna vijana ambao majumbani mwao na familia zao hakuna muongozo bora wa maisha ndio sababu wapo Instagram kujifunza now kwa you guys Icons wa maisha ambayo Vijana wengi wangependa kuwa nayo mkianza kuwaonyesha kwamba mkifarakana cha msingi ni kwanza kuionyesha Dunia kwa kutumia kuunfollow each other huku kwenye KIOO yaani Instagram mtawavuruga sana vijana wadogo Instagram ...na the worst of all ni sisi marafiki wa karibu mtatupa wakati mgumu sana wa kuchagua sides baina yenu that is not fair to us your friends ...again ninawaomba sana mtumie busara na uungwana wote sio wageni wa Mapenzi na watuwazima kila mmoja anajua anachokifanya kupendana na kuachana ni mambo ya kawaida na infact hata kurudiana tena ni kawaida sana so please guys calm down and solve your ishus kwa manufaa ya wafuasi wenu Milioni 7 they deserve better than what you guys did yesterday ...please I am again appealing to both of you @zarithebosslady and @diamondplatnumz please spare us na msipokuwa makini mtawapa maadui wenu wakubwa mwanya wa kuingia hapa kati yenu na kuwavuruga zaidi ....kwenye mapenzi kufarakana ni kawaida na kuachana ni kawaida na kurudiana ni kawaida pia ila angalieni msije mbele ya safari mkaja kushindwa ku overcome the distarctions you are about to bring to yourself wazungu wanaita SELF DISTRACTIONS ....love U all guys but please tuoneeni huruma mashabiki na marafiki zenu tusifikie kuchagua sides baina yenu......MATATIZO KWENYE MAPENZI YANATATULIWA YAKISHINDIKANA MNAACHANA KWA AMANI!....... MUNGU AWATANGULIE WOTE! - le Mutuz

Leave a Reply