Manhood!

Nimependa sana hii picha, nimetumiwa na baba yangu kwa Watsapp. Inapendeza sana kuona picha za wazazi wetu jinsi walivyo tumia ujana wao kuendeleza inchi yetu, tofauti  na vijana wa sikuhizi ambao nguvu zao nyingi wanatumia kwa mambo ambayo hayawajengi kiroho, kimwili, wala kiuchumi. Hongera sana Sir. Kinana and President Kikwete.

IMG-20150525-WA0000

Leave a Reply