Matukio katika picha: Mh. ShyRose Bhanji amtembelea Naibu Waziri Office ya Waziri Mkuu

fb_img_1476065228008“Coutesy Call: During this week I was privileged to be received by Hon. Dr. Abdallah Possi,Abdallah Possi Deputy Minister of State PMO in-charge with Persons with Disabilities at his office. In our discussions I obtained a deeper insight about the scope of challenges facing the people with disability. I admire his knowledge, passion and dedication to his ministerial tasks. I thank him for the warm reception and wish him all the best.”….. Hon. ShyRose Bhanji fb_img_1476065221813“Wiki hii nilipata fursa ya kumtembelea Mhe. Dkt. Abdallah Possi- Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu ofisini kwake. Katika mazungumzo yetu nimepata uelewa mkubwa na mpana zaidi kuhusiana na masuala na changamoto kuhusu watu wenye ulemavu. Nimevutiwa sana na uelewa wake, fikra zake na kujituma kwake ktk Wizara yake. Ninamshukuru kwa mapokezi mazuri na kumtakia Kila yeri na ufanisi”……….. Mh. ShyRose Bhanji

fb_img_1472436063790Asante Muheshimiwa, tunajifunza mengi sana kupitia wewe sisi wadogo zako wake kwa waume. Ubarikiwe sana

 

Leave a Reply