“May we never take our families for granted”- Foster Mbuna Mkapa

fb_img_1479844571865

Familia ya Mbuna. Mama na wanae

…..#Family…..

fb_img_1479853764517
Familia ya Kalanje. Huko kwa wajomba zake Foster upande wa mama

Katika pita pita yangu huko Facebook nilikwenda kuchungulia kwa Foster nikakutana na huu ujumbe juu ya #Family. Ukanigusa sana nikaona ni share nanyi. Nilishawahi sema huko nyuma kuwa mimi ni muumini wa philosophy inayosema ‘There’s no perfect family on this earth’! Nafurahi kuona Foster naye ni mmoja wa waumini wa hii philosophy. Kila familia ina matatizo yake, na hakuna njia iliyo sahihi ya kutatua migogoro ya familia ambayo inaweza tumika katika familia zote nudiani kwani kila family ni Unique! Hivyo matatizo yaliopo ndani ya familia yatatatuliwa na wanafamilia husika. #WhenIt’sFamily screenshot_2016-11-22-13-32-08-1fb_img_1479844431318-1When it’s family you forgive them for they know not what they do
fb_img_1479844446589-1When it’s family you trust them and your heart’s an open doorfb_img_1479844459682When it’s family there’s a mirror of the worst and best in youfb_img_1479844405327Some are fighters, others faint!……fb_img_1479867387267Winners, Lossers, Sinners, Saints it’s all  family fb_img_1479844388482But not a one is turned away when it’s family fb_img_1479867240351-1And just pray to God to do the rest when it’s familyfb_img_1479867060975-1Foster, please accept my sincere appreciation for allowing me to use your personal and family pictures without any problem, indeed free of charge! In all  honestly I have used your pictures in so many occasions and at times I felt guilty; ? but you never made me feel that way. You gave me the freedom to pick and choose as I pleased! You made me feel like I’m one of your #Family!! My dear Foster,  mimi Alpha sina cha kukulipa bali nakuombea kheri na baraka tele katika maisha yako na familia yako yote!

fb_img_1479867352986May you all (the Mkapas’, Mbunas’, Kalanjes’, and others) have a  very happy holidays, with all the blessings and love from God! ??❤❤ #WhenIt’sFamily

Leave a Reply