Nani kama mama!

fb_img_1476657319987-1Awii! My mama huyo! Mama yangu mkubwa jamani! Mrs. Felister Musira! Huyu ndio kifungua tumbo cha bibi yangu mzaa mama, marehemu bibi Valeria Cornel Awiti. Ndio uzao wa kwanza wa babu yangu marehemu mzee Cornel Awiti. …….nakupenda sana mama yangu.  Nakuombea maisha marefu zaidi yenye afya njema na amani tele ?

Leave a Reply