Siku ya haki za binadamu duniani: “Tuanze kusafisha nyumba zetu kwanza”-Mh. Samia Suluhu Hassan

screenshot_2016-12-10-18-01-57-1

Leo ilikuwa siku ya haki za binadamu duniani ambapo kitaifa kwa Tanzania yamefanyika katika viwanya vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam na mgeni rasmi alikuwa Mh. Samia Suluhu Hassan! Ujumbe wake kwa taifa amesema kuwa tuanze kwa kusafisha nyumba zetu kwanza hivyo kuondoa wala rushwa, watumishi hewa, n.k ni LAZIMA!!………. Hata mimi naungana na mama yetu kuwa tusafishe kwanza kwani mizizi ya hawa watu ilikuwa mikubwa na mirefu sana, kama haito ng’olewa basi itakuwa kazi bure kabisa!! Mtu yoyote yule mwenye akili timamu hata siku moja hawezi kuvaa nguo safi kwenye mwili mchafu naye akaridhika! Hapana! Ni lazima ata OGA kwanza atoe na UKURUTU wote alionao mwilini ndipo avae nguo yake safi hata kama siyo mpya! SAFISHA! SAFISHA!screenshot_2016-12-10-18-07-00-1screenshot_2016-12-10-18-03-23-1 screenshot_2016-12-10-18-04-21-1 screenshot_2016-12-10-18-05-03-1 screenshot_2016-12-10-18-05-16-1 screenshot_2016-12-10-18-05-43-1 screenshot_2016-12-10-18-06-16-1screenshot_2016-12-10-18-02-46-1,

Leave a Reply