#TBT#Vincent Nyerere

IMG-20150701-WA0005Kushoto ni Mbunge wa Musoma mjini Vincent Nyerere kabla hajawa “muheshimiwa” Nimecheka sana hii picha nimemfananisha na Diamond wakati ule anatoka na single yake ya Mbagalaa 🙂   Hapo ilikuwa Butiama 1997 na kulia ni hayati Baba wa taifa. Asante kwa ku share nasi. FB_IMG_1435851745520Na hivi ndivyo alivyo sasa hata swaga zimebadilika hahaha!

Leave a Reply