Tumerudi hewani!

Wapendwa wasomaji wangu, naomba mnisamehe sana tena sana kwa usumbufu uliotokea. Ilikuwa nje ya uwezo wangu, kwani damage iliyofanywa ilikuwa ni kubwa sana. Hackers wali hack my database na kuishambulia kisawa sawa! Hivyo shughuli yake ilikuwa ni pevu kwani sikutaka kupoteza hata kumbu kumbu moja! Nashukuru Mungu kwani kila kitu kimerudi kama kilivyokuwa hapo mwanzo. Nawashukuru sana Godaddy.com pamoja na WordPress kwa kazi nzuri waliofanya kwa muda wa zaidi ya wiki mbili. They’re my heroes! FB_IMG_1469659269564Haya mambo mswano, na sasa tuna logo yetu no more picture of mine hapo juu LOL!………….Asanteni kwa uvumilivu wenu!

Leave a Reply