Tumkumbuke mama yake Zari katika dua na sala zetu!

 Tafadhali popote pale ulipo unaposema dua au unapotuma maombi yako kwa Mwenyezi Mungu basi mkumbuke na mama yake mzazi Zarinna Hassan a.k.a The Bosslady! Naona hali yake si nzuri na Zari ameomba tumsaidie kuomba! Pia muwaombee family yao yote katika haya majaribu wanayopitia!......Mungu asikie na kujibu sala zote kulingana na mapenzi yake! Amen! 

Leave a Reply