Ugua pole

Napenda kumtakia uponyaji wa haraka dada yetu kipenzi cha wengi Shy-Rose Bhanji.  Shy-Rose amekua akiugua tangia mwanzoni mwa wiki hii,  amelazwa  katika hospitali ya Agha Khan. Kwa neema za Mungu anategemea kutoka kesho na kurudi nyumbani. Mkono wa Mungu unaponya magonjwa yote uwe naye, ukamtibu maradhi yanayo msumbua, Amen!

Picha ni rafiki yake mkuu mwanamuziki Lady Jaydee alipokwenda kumuona hospitalini leo. Ubarikiwe Jaydee.

FB_IMG_1427662028186FB_IMG_1427662051016

Leave a Reply