Ujumbe wa leo

Nimependa sana huu ujumbe kutoka kwa mama yake Essy na Evin “Punda alipoona wametandika nguo na akapita juu ya hizo nguo na watu wanashangilia, alijisifu sana, hakujua ni kwa sababu alimbeba YESU. Siku moja aliamua kwenda Yerusalem peke yake bila kumbeba Yesu, alishangaa! Njia haikutandikwa wala hakushangiliwa, na alipoingia Hekaluni alikimbizwa kwa viboko. SOMO: Fahari na heshima yako ni kumbeba YESU, ukimtua Utafedheheka. Wakumbushe uwapendao.”

FB_IMG_1427931786749Kuna Punda wengi na waina nyingi na huu ujumbe unawahusu au unatuhusu sana, Tafakari!

Leave a Reply