Kutoka Facebook

FB_IMG_1446747037129Nimependa sana hizi picha ya Mh. ShyRose Bhanji na mrembo Wema Sepetu. Yani tazama nyuso zao inakuonyesha furaha fulani “amazing” hivi ambayo hata wewe kwa kuangalia tuu unapata tabasamu fulani hivi. Hii ilikuwa siku ya kuapishwa Rais Dr. Magufuli. Yani hawa ni warembo halafu ni wazalendo which makes them really hot! FB_IMG_1446761247444Hadi raha yani!  Yani mie napenda sana watu kama dada yangu huyu ShyRose Bhanji yani watu ambao wako free to express their feelings wanapokuwa na furaha au huzuni, dada fulani very down to earth kichizi yani! Japo kila mtu anauhuru wa kuishi anavyo taka lakini mie huwa damu yangu haiendani na watu wanaojiona wako juu ya wengi “Diva” just because za sababu zao ambazo wao wanaziona kuwa zinawafanya wao ni bora kuliko wengine! Watu wenye ‘nyodo’ fulani za kishamba yani! Anyway Mungu awabarikiwa sanaaaaaa warembo wetu wote wawili.

 

 

Leave a Reply