Namshukuru Mungu

IMG-20160101-WA0000Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kumponya mama yangu. Mama alikuwa anaumwa, huwa anasumbuliwa na Allergies pamoja na Asthma huwa anapata tabu sana especially majira ya joto kali.  Hivyo for the past two weeks hali yake aikuwa nzuri sana lakini sasa anaendelea vizuri. Hapo ni siku ya Ijumaa  Mrs Zou Fu Qiang alienda kumtembelea. Yeye ni family friend wetu.  Tushukuru na kuwaombea marafiki wanao chukua muda wao kuja kutujulia hali. Mbarikiwe sana wapendwa. Love you mama!

Leave a Reply