Hello there!

Happy New Year wapendwa wasomaji wangu! Naomba mnisamehe sana leo nimeshindwa kuleta picha za familia kama ilivyo kawaida yetu. Lakini Nahaidi nitazileta kesho, kwa sasa nimebanwa kidogo. Natumaini mmeanza mwaka vyema.  Asanteni sana.

FB_IMG_1451841713620#TBS#Home,02/2010 Nilikuwa likizo Bongoland na hapo nilikuwa nakwenda kula “bata” Hiyo nguo bado ninayo ila sijawahi ivaa tena sina uwakika kama bado inanitosha ? I love that color is one of my favorite colors. Haya Muwe na siku njema.

Leave a Reply