#TBS

2015-07-12 08.38.11Haya kwakua tuanakaribia kumuaga na kumkaribisha Rais wetu mpya Dr. John Pombe Magufuli basi nimeona si mbaya kutupia hizi picha humu  🙂  🙂 2015-07-12 08.29.22Ni kahistoria fulani kaliwekwa huko siku za nyuma na sidhani kama kuna mtu mwingine halishawahi fanya  hivi  tena 😆 baba na mwana kumiliki jukwaa kwa mara moja 🙂 kwenye fundraising dinner ……

2015-07-12 08.35.12Kila la kheri Rais Kikwete kwa hiyo miezi mitatu uliyo bakisha…….

Leave a Reply