Category Archives: Just for funny

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-12-02-00-03-32-1

Cheka urefushe maisha

screenshot_2016-11-25-15-57-03-1

Cheka urefushe maisha

fb_img_1480101310584Tahadhari kwa walevi wa ngono ??

Love in the air! Is this our new shemeji?

screenshot_2016-11-25-10-16-29-1 rumor has hit in the streets of social media that the man in the picture is our new shemeji?!
screenshot_2016-11-25-10-14-43-1 If this is true not kutafuta #kik za mujini basi mimi ninafuraha sana moyoni ??  Nasikia kitu ni #InternationalMachineGun ???? yani hana rafiki mujini wala Kiswahili hajui ?? Jide amejuaje kuwakomesha wambea ?? salute to you Jide ?? screenshot_2016-11-25-10-16-55-1Wacha wee ??screenshot_2016-11-25-10-14-30-1he! he! he! kama namuona mtu mzima Ruge na loser wake macho yamewatoka waki kodoa kodo ?? #Salome You go Jide enjoy your chocolate candy bar #JotoHasira #WanaumeKamaMabinti

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-11-22-16-42-09-1

Cheka urefushe maisha

fb_img_1479853962222

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-11-21-12-27-58-1

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-11-19-09-55-53-1 screenshot_2016-11-13-21-35-13-1

Cheka urefushe maisha

screenshot_2016-11-19-18-31-46-1

Cheka urefushe maisha

screenshot_2016-11-11-08-34-23-1

Ngoja tucheke tu leo!

img-20161108-wa0000????? Jamani ngoja tu tucheke maana haya matokeo ya kura jinsi yanavyo enda yanatupa pressure tu ?? sasa hiyo picha inaonyesha jinsi Black people hali yao itakavyo kuwa baada ya Trump kutangazwa mshindi  (hopefully he won’t win), watu watakuwa na boat party going back to Africa! ?? O’Lord help us! ??

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-11-07-18-25-34-1

Cheka urefushe maisha

screenshot_2016-11-01-22-14-38-1

Cheka urefushe maisha: kizazi cha DotCom

fb_img_1477778684824

Cheka urefushe maisha

screenshot_2016-10-29-21-06-41-1

Cheka urefushe maisha

screenshot_2016-10-28-12-52-42-1

Cheka urefushe maisha

screenshot_2016-10-28-02-17-09-1

Cheka urefushe maisha!

fb_img_1477254759825-1fb_img_1472436063790Je umebahatika kuona Ushuhuda wa Masanja katika harakati za kujikwamua na kujiendeleza kiuchumi? Kama bado basi pitia page yake ya Facebook tafuta hubiri lake liendalo kwa jina la “Komaa mpaka kieleweke”! Naamini kama wewe bado upo katika harakati za kufanikisha ndoto zako basi itakusaidia sana !

“Wimbo gani wa Bongo uliowahi kufanywa zamani na kurudiwa na msanii mwingine umefanya vizuri zaidi?”- EATV

screenshot_2016-10-22-15-47-39-1Najua kuna tribute  za nyimbo za zamani nyingi  zimefanyika, lakini hizo hapo chini ? ndio nazipenda zaidi! Hata hivyo Salome ya Diamond naweza sema ndio umeweza kufanya vizuri zaidi ya yote. Hii inatokana na technology ya mitandao pampja na ubunifu wa aina ya uchezaji pamoja na mavazi. Vile vile muamko wa Watanzania kupenda nyimbo za nyumbani kumechangia

1. KARUBANDIKA by Mtoto wa Dandu

2. SIWEMA by Lady Jay Dee

3. SALOME by Diamond ft Rayvanny

4.  ‘SHOGA’by Fina Mango

5. MUHOGO WA JANG’OMBE by Lady Jay Dee

6. KIZAI ZAI by Linah Sanga

: Natamani Fina Mango atengeneze tena remix (tribute) ya wimbo mwingine. Ana sauti nzuri sana. 

 

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-10-22-18-41-22-1