Category Archives: Just for funny

Cheka urefushe maisha yako!

“Shemeji ni yule mwenye pesa nyingi. Kama hana huyo anakuwa mume wake dada, sisi hatuhusu.” ???? Dah! Kweli mkono mtupu haulambwi! Mdogo wangu zidi kutafuta pesa yasije yakakukuta haya ??

Cheka urefushe maisha yako! #AGangster Vs #AGentleman

Never tell a book by its cover! A gangster left THREE KIDS (3) from ONE woman and the gentleman MANY KIDS from DIFFERENT woman the ball is in your court.. ………????

Cheka urefushe maisha yako!

Eti na wewe unajiita Mwanaume,Mwanaume kumnunulia Zawadi mwanamke wako ni mpaka uone Valentine’s Day imekaribia ndio unajishaua na Shopping ili kusafisha nyota. Nani aliyekwambia Usela unalipa kwenye Mapenzi?? Unahisi ukimnunulia Zawadi na kumuonyesha unampenda utaonekana Bwege, Kuna kosa gani kuwa bwege kwa mtu unayempenda?? Hata wanafiki wakisema umeshikwa waambie NDIO NIMESHIKWA NIMESHIKAMANA! 
Make your Woman Smile……..Wala huna haja ya kutumia fedha nyingi kwenye Shopping za Mariedo. Ukiona kitu kizuri Karume NUNUA Mpelekee. Ukiona Gauni zuri Posta NUNUA mpelekee. Hamna kitu kizuri Wanawake wanapenda kama ZAWADI, hata kama umenunua JERO mtumbani, ile Feeling kwamba Ulipokiona ULIMKUMBUKA YEYE inampa impression kwamba She is On ur Mind na hilo ndo wanawake wanataka……..
Surprise her pale asipotarajia. Mpigie Simu aje, akifika una Parcel ya Saa nzuri. Utapendwa hadi ushangae……..Hawa watu wanaitwa mafataki hakuna Miujiza yoyote wanayofanya kumuiba mwanamke wako zaidi ya hii. Wanajua Wanawake wanapenda nini na wanawapa hicho. Wewe jifanye Msela halafu Mafataki wakufundishe Caring ni nini. USione Couple zinadumu ukajua jamaa anatumia heeelaaaa nyiiiiingi, walaaa…….Mijisapraiz tu,mwanamke anajiona Malkia masaa 24. Sio kila Limbwata imetengenezwa na Mganga wa Kienyeji,Ukitumia Akili tu sometimes ni Limbwata tosha.

Credit to #ChekaUsipasuke

Cheka urefushe maisha! #GetThebook

“If you’re not married you are SINGLE!  God doesn’t acknowledge boyfriend / girlfriend. Neither does the court!” #AskCheyB 

Cheka urefushe maisha!!

This is so true! Kuna maisha zaidi ya kuolewa enjoy life ladies! Kama wewe ni mama furahia uzazi wako fanya kumbukumbu nzuri na wanao hata siku ukiondoka hapa duniani wawe na kitu cha kuelezea jamii. Kama huna mtoto basi fuga hata mbwa / paka uwalee. Au tafuta kitu ambacho kina leta furaha na amani moyoni mwako ukifanye kwa nguvu zote. Tusiwe kama wakati wa Noah ambapo watu walikuwa busy na kula, kulewa, kuolewa na kuoa hata pale walipokuwa wakihubiriwa injili ya wakovu hawakusikia kabisa! Btw, hata Boaz alimkuta Ruth akiwa busy shambani akampenda na kumfanya malkia wake wa nguvu ??  Get a life!

Family Feud: The Akothee Akothee’s family!

Kama mnavyo jua hii blog nilianzisha haswa kwa ajili ya ku-share furaha, mafanikio, changamoto, mahusiano (kati ya wazazi na watoto, wapenzi, marafiki) na njia za kutatua matatizo yetu ndani ya familia na nje ya familia! It’s all about inspirational stories and pictures / videos from our very own families, friends, and so forth! Mengine ni nyongeza tu!……..Basi jana nikiwa natazama Facebook yangu nikakutana na huu ugomvi kutoka kwa mwanamuziki mashuhuli kutoka nchini Kenya ajulikanaye kama #Akothee Akothee, nikasema ngoja ni share nanyi kwani unaweza fikiria kuwa ndugu wa “ajabu ajabu” wapo tu ndani ya familia yenu lakini ukweli watu wa namna hii au vituko vya namna hii vipo katika kila familia yenye UHAI! ………Angalia neno #uhai nimeandika kwa herufi kubwa hiyo ni kuonyesha msisitizo! Yani ninacho maanishi ni kwamba kitu chochote chenye uhai lazima kitakutana na changamoto mbalimbali ili kiendelee kuishi! Changamoto hizo zingine zaweza kuwa nzuri nyingine sinzuri lakini the bottom line kuwa utakutana nazo, and how you solve them hiyo ni juu yako wewe uliye vaa hicho kiatu kwani wewe ndio unajua ni wapi kinakubana!…….Haya enjoy the “drama” 🙂 🙂  

“POLITICS HAVE KILLED ME
one of my very close cousins , who I thought we love each other , came to me & told me that he is stuck with school fee for his daughter & he needs only 50k to enroll his daughter in form one , I gave him the money in a white envelope on a Friday , our first born brother drove him home , & on a Sunday! I recieved a call from home that he just declared that he wants to go for the same seat of mca that my mum is holding , & he used my money to buy people from my village to disgrace my mum , who has been there for the community , I had park afew of my cars in his office as I was looking for an office in Nairobi , when I came to pick the cars, they were already taken as a collateral, as they had not paid rent for months ,remember he wanted me to take over the office but I was too smart , remember he is the same causin I gave the contract to build my mums house, the battle is on , please be carefull of those who kiss you on the forest head & kiss you frequently! I have forgiven you I SAW YOUR SEVERAL CALLS BUT PLEASE! I HAD TO THROW AWAY THE PHONE TOGETHER WITH THE SIM CARD , GOD BLESS YOU IN YOUR FUTURE PLANS
I SHARE BECAUSE I CARE” Anyway, in the end always mshukuru Mungu kwa kila jambo. Kama ni Mkristu utaenda zako kanisani kusali na kutoa sadaka ya kushukuru kama unavyo mwona Akothee hapo na watoto zake akienda nao kanisani ?? Basi na kama wewe ni Muslim utaenda Msikitini kuswali, na kama wewe ni mpagani basi utajijua wewe na mashetani yako ??…….

**Undugu ni gharama ambayo haiepukiki**

Cheka urefushe maisha

Cheka urefushe maisha!

“Only a black person would go to a butchery and buy bones and only to complain that ‘these bones got no meat’.

My brother you said you want bones,stop being emotional,you need deliverance and 365 bottles of anointing oil.” -Tusiime

I upgraded Ruge Mutahaba!

Mmeona shemeji yangu Ruge jinsi alivyo ongea kisomi?! ‘Kijana’ kaongea kwa ma-confidence kama Rais bwana  (in Haya’s accent)! Yani huyu Muhaya ni kichwa usipime! Na sasa nimeamua kum- upgrade siyo Loser tena ni Hero wa Watanzania. Na kwakuwa ni mambo ya kupokezana kijiti basi kijiti chake kipo pending kwasasa mpaka report ile ya tume ya Nape Mnauye itakapo kamilika halafu tutamkabidhi mtu fulani 🙁  …… Huko nyuma nilisemaga hivi TheTwoBiggestLosers  🙂 🙂 kwakweli nimecheka sana! What was I thinking?! Kha! Ogopa mwanamke akiwa amekasirika 🙂 🙂

Halafu mimi sipendi tabia ya watu wanao bugudhi Wahaya!! Mnajua mie nina ubiya wa kudumu na Wahaya 🙂 🙂  leave my Hayas’ alone peeople!!  …… Haya Ruge nitafute uchukue hela yako ya lunch umefanya kazi nzito sana 😉 😉

Cheka uongeze maisha!

Y

Cheka urefushe maisha!

cheka urefushe maisha!

🙂 🙂 🙂 hilo nalo neno lol!………Wapendwa naomba mnivumilie kidogo I’m dealing with some family issues right now, hivyo nitakua nachungulia humu mara moja moja! Samahani sana na asanteni!

Cheka urefushe maisha!

Cheka uongeze maisha!

Wametengeneza historia kwetu!

Kama maelezo ya picha zao yanavyo someka. Hawa wajukuu wa Chief Sarungi Igogo wametengeneza historia ndani ya ukoo wetu kwa mwaka huu! Mnamo tarehe 11 mwezi wa Kumi; Maria Sarungi-Tsehai alikuwa mmoja wa watu walioalikwa kutembelea WhiteHouse ya Marekani chini ya group lijulikanalo Kama Eisenhower Fellowship ambapo walipokelewa na mwenyeji wao Rais Baraka Obama ••••••• Vile vile wiki hii siku ya tarehe 28 Dec  Janeth Igogo-Nyagilo alibahatika kumtembelea na kuzungumza kidogo na bibi yake  Rais wa Marekani-Baraka Obama huko Kogelo, Kenya ambako bibi huyo anaishi. Janeth yupo huko Kagan, Kenya kwa mapumziko ya Christmas na familia yake. Mumewe Janeth ni mzaliwa wa kijiji cha Kagan, Kenya •••••• ? Haya hongereni kwa kuweka historia hiyo kwenye ukoo wetu kwa kuwa watu wakwanza kufanya hivyo ????

Cheka urefushe maisha!

??? jamani si nimempenda kwanini nifiche ??……. Hello wapendwa, nimewa miss humu! Ngoja nishangae kidogo hii dunia ya Waarabu its my first time here ?? ………Ntarejea muda si murefu!

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-12-13-08-24-14-1

Dare not to miss it!…….Hii si yakukosa!

screenshot_2016-12-11-11-13-41-2Awiii! Hii?!! Aaah! Ukipitwa basi wewe 2017 itakuwa imekula kwako sanaaaaa! Yani fanya juu chini usipitwe na hii event! Nunua ticket yako sasa. Si mmemuona “Wifi” yangu Saida Karoli ndani ya mjengo!! Basi usikubali  kupitwa hata chembe!……..Nyie Wahaya hakikisheni mnaniwekea VIP seat na parking space ?? Sasa mnafikiri watajuaje “Mjaluo” nipoooo??!! Mkipenda vya Ujaluoni sharti mjue kuzichanga hizo $$, Ujaluo gharama ????

Cheka urefushe maisha!

screenshot_2016-12-10-20-50-41-1screenshot_2016-12-10-20-50-06-1??????? Sijui ilikuwa Awards zipi but hongera sana umetisha lol!…… And Happy birthday to that #SALOME video queen!

Cheka urefushe maisha!

fb_img_1481307524126