Molocaho by Amorette

Haya furniture nzuri sanaaaaaa zinatengenezwa ndani ya Tanzania. Ni vitu vyenye viwango vya kimataifa, Molocaho by Amorette! Vimeshika nafasi ya juu sana katika ubora wa furniture za ndani huko Dubai na East Africa katika maonyesho ya biashara yalio fanyika mwaka huu! Tafadhali tuweke uzalendo kwa kupenda vyakwetu kwanza haswa kama vikiwa vimekidhi viwango vya kimataifa!! Yani kama wewe bado unaagiza furniture kutoka nje ya nchi basi wewe ni bonge la mshamba!! Yani hujui Molocaho furnitures?! Wao wapo Village mall!… …..Kama budget hairuhusu leo kununua Molocaho toka Amorette basi waweza fika pale ALUTech, nao ni watengenezaji wa furniture nzuri sanaaaaaa kwa watu wa hali ya chini na kati pia wanafanya interior design kwa nyumba na office! ALUTech wanapatikana pale Mivinjeni, Kurasini bara bara ya Kilwa! Weka uzalendo mbele kwa kupenda vya kwenu kwanza! Kumbuka mkataa kwao ni mtumwa!!

Leave a Reply