SIASA NA DEMOKRASIA YA KENYA….. TUNAJIFUNZA NINI KATIKA MIFUMO YAO??-Peter Sarungi

 

Peter Sarungi a.k.a The Next Speaker-Baba Pilato!

Taarifa zinaonesha kuwa kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Jamhuri ya watu wa Kenya ndio nchi ambayo ina mifumo inayo tekeleza Siasa huru na Demokrasia ya kiwango kizuri ukilinganishs na nchi zingine katika ukanda huo. Pamoja na kuwepo kwa Siasa za Ukanda na Makabila kwa muda mrefu lakini bado siasa zao zimekuwa ni za mfano kupita zetu za Tanzania.

Je, tunajifunza nini? kuna lipi unalo lijua kuhusu mfumo wao ambacho kwetu hakipo? Je, wananchi wao na wana siasa wao wana tabia gani ambazo ni tofauti na kwetu Tanzania? Saidia kujadili ili tupate Ufahamu.

Leave a Reply