Category Archives: General Life Lessons

Hekima za Mwl. Nyerere: Usikubali kuwa jiwe

https://youtu.be/TfbVbhvss2w

Kisa hichi kinanikumbusha story ya mke wa Lutu kwenye Biblia japo hakifanani sana lakini the moral of the story still the same. Ukitaka kusonga mbele na kuwa na mafanikio makubwa inabidi kuwa jasiri sana wakutosikiliza ya watu! Watu ambao wanajua kuwa “wamechemsha” kwa kutofata masharti ya kufika to their “promise land” or "destiny" wengine huwa wanakua na busara na kutumia experience yao kwa kuwafundisha au kuwaambia wengine wasifanye makosa waliofanya. Lakini kuna ambao wanakuwa na hasira sana na wengine na kuanza kupiga makelele kwa wale ambao wanaonyesha muelekeo wa kufika kwenye nchi ya asali…….. Watu hao ndo wazushi, waongo, wachonganishi, wapika majungu n.k hayo yote wanafanya kuwakatisha tamaa wale ambao wanaonyesha dalili ya kufanikiwa. DON’T  NEITHER LISTEN NOR  JOIN THE NOISE MAKERS! They are nothing but biggest losers! USIKUBALI KUWA JIWE!!

Joyce Kiria: Kila mtu ana njia yake …. Kila mtu kapewa msuli wa kupambana na matatizo yake

Regrann from @joycekiriasuperwoman  -  MAISHA YANGU  BINAFSI NILIYAKUTA YAMEJAA CHANGAMOTO NYINGI, ELIMU SINA, FAMILIA YETU NI MASKNI, MIE NDO MTOTO WA KWANZA, YAANI MAISHA  HAYANA HAMASA, HAYANA MATUMAINI, NOW  NIKACHAGUA KUYAGEUZA NDO FURSA, YAANI NDO MTAJI WANGU... WEWE UNAONA NI MATATIZO MIMI NINAYAONA NI MGODI...  NILIAMUA KUPAMBANA NA HAYA MATATIZO YANGU KWA STAILI HII YASINIUMIZE KICHWA, BALI YANAPOKUJA TUU NINAYATAZAMA KWA JICHO LA FURSA! NAYAKUMBATIA NAYAONGEA KWA NGUVU ZANGU ZOTEEEE,  NAPATA NAFUU LAKINI PIA NAPATA KAZI HAHAHAHA.

UJASIRI HUU NILIOJIPA NDIO UNAONIFANYA KUWA SUPER WOMAN, NANI ATAWEZA KUPITA HII NJIA?? UNADHANI WATU HAWANA MATATIZO? KWANINI WENGI WANAYAOGOPA?? KUKUBALI UKWELI WAKO BINAFSI SIYO JAMBO JEPESI, WENGI TUNAPENDA SANA KUJIONYESHA KWAMBA TUU WATAKATIFU...

MIMI NASIMULIA MAISHA YANGU BINAFSI, SIYASIMULII YA MTU, NASIMULIA NJIA ZANGU ZENYE LADHA YA ASALI NA MWAROBAINI KWA PAMOJA KWA AJILI YA KUJIFUNZA NA KUFUNDISHA WENGINE.... THAT IS MY PATH ... NJIA ZETU HAZIFANANI ... KILA MTU ANA NJIA YAKE ... KILA MTU KAPEWA MSULI WA KUPAMBANA NA MATATIZO YAKE... PIGANA NA  YAKO.... AM SUPER  PROUD TO BE ME... I AM A SUPER WOMAN #SUPERWOMAN  - #regrann

Mo Dewji: safari ya mtu mwingine HAIWEZI KUKUZUIA WEWE kufanikiwa kwenye safari yako

Regrann from @moodewji  -  Kila wakati kumbuka kuwa, safari ya mtu mwingine HAIWEZI KUKUZUIA WEWE kufanikiwa kwenye safari yako. Usipoteze muda kwenye mawazo yasiyo kuwa na umuhimu. — Mo // Always remember that, someone else's journey WILL NOT STOP YOU from succeeding in yours. Don't waste time on unnecessary thoughts. — Mo  - #regrann

Akin Al-Ameen: There is no such thing as fighting for love unless you’re both on the same page fighting for the same cause

Some people are naturally difficult, very hard to love. Never allow such people to take your happiness away. No matter how good your intentions are, never force kindness on people against their wish. Most people think loving them is a weakness. Always have a boundary. Sometimes accepting everything doesn’t mean you’re peaceful, it means you’re vulnerable and desperate for love. If you take everything, people will give you anything. Love is peace, and love is sweet but “IF LOVING SOMEONE IS GIVING YOU MORE SADNESS THAN JOY, LEAVE THEM ALONE AND LOVE THEM FROM FAR AWAY”. Never lose yourself while searching for the right person. The best you can do is to make yourself a right person. Try your best to save your relationship but if giving your best is not good enough, you’re probably giving it to the wrong person.

Mercy, Sammy, and Alpha

There is nothing bad in loving people from distance, that doesn’t mean you stop loving them, it simply mean you respect yourself and cherish your peace of mind. Always remember that everybody in life needs help. Sometimes staying out of some people’s life is the best way to help them. Love is not a favor, don’t beg for it. It’s not a war, don’t force it. You can never be in a relationship alone. There is no such thing as fighting for love unless you’re both on the same page fighting for the same cause. If your dream partner cannot see you in his/her own dreams means it’s time for you to wake up and stop dreaming alone. Never mistake a SITUATIONSHIP for RELATIONSHIP if you want peace of mind. Be honest with yourself. Never make a life changing decision based on your emotions alone.

Akin Al-Ameen®™2018

***My picture has nothing to do with the story***

RC Paul Makonda: haikuwa rahisi kama siyo Mungu kuwatumia wateule wake sijuwi leo nigekuwa wapi

@Regranned from @paulmakonda - Mwaka 2017 ni mwaka watofauti sana kwangu. Leo tunapojiandaa kupokea Mwaka 2018. Ni vyema nikayatazama maisha yangu ndani ya mwaka 2017 hakika huu ulikuwa mwaka wa aina yake. Ni mwaka ulionipa marafiki wa kweli, lakini kubwa kuliko ni Upendo na Maombi niliyoyapata kutoka Kwa Kipenzi changu Maria. Nikuambie kitu ndg msomaji...... haikuwa rahisi kama siyo Mungu kuwatumia wateule wake sijuwi leo nigekuwa wapi. Nimepewa kila jina baya, kila jambo baya nimefanya mimi ,matusi yote yalikuwa yangu na hata watu kutamani nisiwepo duniani. Lakini kwako Mpenzi ilikuwa tofauti, ulinitia moyo Kwa sauti ya upole,uliniombea na kunifuta machozi bila kuchoka. Tena Kwa kusema Nanukuu, Paul Mungu hajawahi kukuacha hata kama Dunia yote inakuona haufai nataka nikuambie Mungu amekupaka mafuta Kwa kazi hii simama na usonge mbele. Mwisho wa kunukuu”.Ndg zangu na wananchi wenzangu ni vyema mkajua kila mtu anayo hadithi ya kumweleza mwenzake ila kwangu inahitaji kitabu kuyaeleza mapito na njia nyembamba niliyoipita mwaka 2017. Itoshe kusema Mungu wa haki iko siku atasimama na kutoa hukumu ya kweli Kwa watu wote. Kwani yeye anatujua kila Mtu na matendo yetu tena kwake hakuna Siri ya maisha yetu.Nakupenda sana Maria wangu na ninathamini sana Mchango wako ktk utumishi wangu hapa Duniani. Uzidi kuwa Imara simba wangu ili niyafanye yote mema ambayo Mungu amepanga Kwa watu wake. Asante sana Mungu Kwa kunivusha mwaka 2017.

JNM: I’d like to share with you some of the things I’m including in my TAKE TO 01/01/2018 LIST

@Regranned from @j_n_mengi – As we are about to say bye to 2017 and welcome 2018 I’d like to share with you some of the things I’m including in my TAKE TO 01/01/2018 LIST: 

1. Positivity and faith-I can’t even start to tell you how many things I manifested through my faith this year.

2. Honesty-though can seem difficult it’s the most liberating gift to self and others

3. Patience-a make or break in life but also the wisdom to know when to stop

4. Friendship-honest friends to laugh and cry with,by your side for no reason 5.Quality time spent with family-because you must always have a warm home to go to

6. Dreams-because dreams are what reality is made of and one must always have something to look forward to.

7. Doing what makes me happy-because I deserve it just like everyone else.

8. Facing my fears-because through this I get to discover my new strengths

9. Time out-because time alone allows me to connect to my inner self

10. Take it easy-what seems to be such a big deal today might not be that way tomorrow so it’s important not to take everything too seriously. Pls share with me yours too..

Faraja Nyalandu: Kubali yaishe, maumivu ya leo ni pona ya kesho.

@Regranned from @farajanyalandu - #Niliyojifunza2017
 4/10 Sio kila changamoto utakayopitia ni ya kutatua, nyingine ni za kuzivuka kama zilivyo ili ujifunze. Kwa mfano kuna changamoto zinazoweza kutokea ili kukudhihirishia watu ulionao kwenye maisha yako. Kuna watu wamefika mwisho wa safari yao kwenye maisha yako au wewe umefika mwisho wa safari yako kwenye maisha yao na kuna matukio yatakufahamisha hivyo. Kubali yaishe, maumivu ya leo ni pona ya kesho. Move on to a better day! - #regrann 

Ruge Mutahaba: lazima tufanye kitu kikubwa kwa ajili ya historia ya nchi hii

@Regranned from @cloudsfmtz - Hatujahitimisha bado huu ndiyo mwanzo hatuwezi kuishia hapa tukaliacha kama Tamko sisi kama CMG tutalibeba kama Azimio kufika mwisho. Tumezunguka zaidi ya miaka 5 tumesikia vilio vinavyofanana kwa Vijana kabla hatujakwenda mbele lazima tufanye kitu kikubwa kwa ajili ya historia ya nchi hii. Jana tumeanza kwa kujiuliza Kwa swali Je tunaimba wimbo mmoja kwa Sauti zenye kufanana? Inawezekana hadi tunaondoka hapa bado hatujapa Sauti moja Lakini naimani tutafikia lengo. Tunaposema anzia sokoni lazima tuangalie Uongozi wa kimasoko namna gani tunaweza kushindana pasipo kushushana kwenye mazingira ya ushindani, Ubakie kwenye maneno tu na Vitendo vionekane Sokoni.  Hebu tujaribu kutafuta taarifa na lazima wote tukubaliane kusaidia na maafisa kilimo na viongozi katika kuodoka katika Kilimo cha Kisasa. Sababu kilimo chetu kimepitwa na wakati. Kama tuna uwezo wa kupata mifumo bora zaidi katika huduma za kijamii tujipe Moyo na wala tusivutane kama kuna Fursa zipo tuzikimbilie katika kuzalisha huduma bora zaidi. Misingi yetu lazima ijikite katika namna ya kusolve tatizo bila kulalamika, Malalamishi tunayoishi nayo yageuke kuwa changamoto ambazo ni fursa kwetu tutengeneze kitu kinachoitwa Problem Solving Skills. Ndani ya Mwezi mmoja unaofuata kuanzia sasa kupitia WAMANTA waliopo hapa, Watu wa kwenye mitandao pamoja na wengine walio pamoja nasi tutatengeneza timu kwa ajili ya andiko la Azimio la Kagera. kabla ya Bunge la bajeti 2017/18. Hili #AzimioLaKagera Leo kwa pamoja tumeandika historia kubwa sana namshukuru mwenyezi Mungu kupata viongozi wa dini ambao tumeshindana nao kuanzia siku ya Jana hadi leo ni faraja kwetu. Kwasisi tuliobahatika kuishi leo lazima tubadilishe mtazamo wa kuitengeneza Kagera mpya yenye mtazamo mpya kama mipaka ya kiuchumi na siyo eneo la Ulinzi wa mipaka yetu.

 Muasisi wa Fursa
 Ruge Mutahaba.
 #AzimioLaKagera @tatumzuka - #regrann

Some persecute happiness, others believe it. Worry more about your conscience than your reputation.

“A man saw a snake was dying burned and decided to take it out of the fire, but when it did, the snake bit him. By the reaction of pain, the man released her and the animal fell back into the fire and was burning again. The man tried to pull it out again and again the snake bit him.

Someone who was watching approached the man and said:- excuse me, but you’re stubborn! Don’t you understand that every time you try to get her out of the fire, she’s gonna bite? The man replied:- the nature of the snake is biting, and that’s not gonna change mine, which is to help.

So, with the help of a piece of iron, the man took out the fire snake and saved his life.
Do not change your nature if someone does harm you do not lose your essence; only take precautions. Some persecute happiness, others believe it. Worry more about your conscience than your reputation. Because your conscience is what you are, and your reputation is what the rest of you think. And what other people think, it’s not your problem…… it’s their problem.”

***Copied from a friend. …..My picture has nothing to do with the story***