Category Archives: Words of wisdom

Womanhood!

Katika kuitafuta furaha usimuumize mtu mwingine ili wewe uwe na furaha- Dina Marios

Katika kuitafuta furaha usimuumize mtu mwingine ili wewe uwe na furaha.Kila lililopangwa kuja kwako litakuja tu kama Mungu amelipanga kuja.  Huwa nayatazama maua yakiwa bustanini.Ni maua ya aina tofauti lakini hupokezana kuchanua.Hili litakaa miezi hata tisa bila kuchanua lakini siku likichanua linapendeza kweli kweli,lingine huwa limechanua mara zote,lingine huitaji jua kali ili lichanue na kupendeza.Ndivyo hata sisi tulivyo hatufanani na kila mmoja ana wakati wake wa kuchanua…wakati wake wa kufanikiwa.Sidhani kama yale maua huwa yanaoneana wivu mbona yule kachanua mimi sijachanua?Usiitazame furaha ya mwenzako ukateseka nayo,mafanikio yake ukateseka nayo na wewe ukaitaka pengine na yeye ni kama lile ua linalokaa miezi tisa ndio lichanue.Itazame safari yako na wewe wakati wako ukifika utachanua Utang’ara.

Katika  kuitafuta furaha na mafanikio njiani usimkanyage mtu,usimuumize mtu.Unaweza kufanikiwa leo lakini sio milele.Kufumba na kufumbua mambo yanaweza kubadilika.Unaweza kuwa kwenye nguvu na control leo lakini huwezi kuushinda muda…muda hubadilika….Good morning!

Womanhood!

“Nawatakieni kheri ya mwaka mpya pamoja na BWANA” -Pastor Caleb Migombo

“I will remember the works of the LORD; Surely I will remember Your wonders of old. I will also meditate on all Your work, And talk of Your deeds. Your way, O God, is in the sanctuary; Who is so great a God as our God?” Psalm 77:11-13

“We have nothing to fear for the future, except as we shall forget the way the Lord has led us, and His teaching in our past history” EGW -LS p. 196.

Have a Happy New Year with The LORD

“Nitayakumbuka matendo ya Bwana; Naam nitayakumbuka maajabu yako ya kale. Pia nitaitafakari kazi yako yote; nitawazia habari za matendo yako. Ee Mungu njia yako I katika utakatifu; Ni nani aliye mungu mkuu kama Mungu?” Zabri 77:11-13

“Hatuna chochote cha kuogopa juu ya wakati ujao, labda pale tu tutakaposahau jinsi Bwana alivyotuongoza, na mafundisho yake kwetu kwa nyakati zilizopita”. EGW LS p.196

“I will remember the works of the LORD; Surely I will remember Your wonders of old. I will also meditate on all Your work, And talk of Your deeds. Your way, O God, is in the sanctuary; Who is so great a God as our God?” Psalm 77:11-13

“We have nothing to fear for the future, except as we shall forget the way the Lord has led us, and His teaching in our past history” EGW -LS p. 196.

Have a Happy New Year with The LORD

“Nitayakumbuka matendo ya Bwana; Naam nitayakumbuka maajabu yako ya kale. Pia nitaitafakari kazi yako yote; nitawazia habari za matendo yako. Ee Mungu njia yako I katika utakatifu; Ni nani aliye mungu mkuu kama Mungu?” Zabri 77:11-13

“Hatuna chochote cha kuogopa juu ya wakati ujao, labda pale tu tutakaposahau jinsi Bwana alivyotuongoza, na mafundisho yake kwetu kwa nyakati zilizopita”. EGW LS p.196

Nawatakia heri ya mwaka mpya pamoja na BWANA

Womanhood!

screenshot_2016-12-14-14-39-09-1screenshot_2016-12-14-14-39-02-1screenshot_2016-12-14-10-47-12-1 screenshot_2016-12-13-08-18-37-1screenshot_2016-12-13-08-18-15-1

Womanhood!

screenshot_2016-12-11-11-37-01-1screenshot_2016-12-10-22-42-17-1screenshot_2016-12-10-22-42-24-1screenshot_2016-12-11-10-33-41-1screenshot_2016-12-11-10-33-48-1screenshot_2016-12-10-20-46-28-1screenshot_2016-12-10-20-46-15-1

Womanhood!

screenshot_2016-12-05-20-47-32-1-1 screenshot_2016-12-05-20-46-01-1-1 screenshot_2016-12-05-20-45-15-1-1 screenshot_2016-12-05-20-29-48-1 screenshot_2016-12-05-20-29-57-1 screenshot_2016-12-05-10-12-38-1

“Stop telling your big dreams to small-Minded people”-Steve Harvey

screenshot_2016-12-04-17-37-45-1

Ushauri umetolewa na Steve Harvey kuwa acha ku-share ndoto zako na watu wenye UFINYU wa mawazo au kwa lugha ya kisasa wanasema watu wenye MAWAZO MGANDO!………. Wanaposema “small-minded” people haina maana kuwa ni watu wenye shida ya pesa au hawana elimu! Hapana! Small-minded people niwale watu ambao hawapendi kuona mwingine anafanikiwa! Niwale watu ambao wana roho za kwanini na yuko tayari kufanya lolote lile ili kumuangusha au kumuumiza mwingine kwasababu tu ya chuki binafsi juu ya maendeleo ya mwingine! Ni watu ambao wanapenda kutoa kasoro kwa mambo ya watu bila ku-offer any solution. Ni watu ambao wanaona mapungufu ya wengine lakini si ya kwao! Ni watu ambao hufurahia anguko la mwingine. Watu wenye elimu lakini hawajaelimika! Hawezi msaidia mtu bila kunyamaza lazima watu wote wajue kuwa alikusaidia………….Kuna watu ambao ni masikini wa pesa lakini tajiri wa roho! Watu kama hawa siku zote wanaamini katika ule msemo usemao WEMA HAUOZI! Kwani kwayeye kutenda wema kwako ndipo Mungu naye atambariki katika mambo yake. Kwahiyo unaweza ukawa hauna pesa lakini una akili na roho kubwa!…,,Stop Telling Your Big Dreams To Small-Minded People!

#LeanInTogether: Together Women can

screenshot_2016-12-03-16-21-42-1

fb_img_1480807470360
ThrowBack: 2015, African women in Sydney, Australia…….picha credit to Fina Nyongo

screenshot_2016-12-03-16-21-54-1

#LeanInTogether #TogetherWomenCan #WomenSupportWomen

#There’sPowerInSupportingEachOther

Womanhood!

screenshot_2016-11-29-10-45-43-1 screenshot_2016-11-29-10-48-50-1 screenshot_2016-11-28-06-24-17-1screenshot_2016-11-28-06-23-59-1

Womanhoood!

screenshot_2016-11-27-08-46-32-1 Yes! And indeed you are one of them! Vijana wanakuhitaji sana!screenshot_2016-11-27-08-35-28-1 screenshot_2016-11-27-08-36-20-1screenshot_2016-11-27-08-36-35-1

Womanhood!

screenshot_2016-11-25-16-14-07-1screenshot_2016-11-24-11-28-35-1screenshot_2016-11-25-10-09-37-1screenshot_2016-11-25-10-09-32-1screenshot_2016-11-25-10-22-35-1

“none of them will share the grave with you , collect your pieces & move on life is full of choices”- Akothee Akothee

fb_img_1480095284347Goodmorning people, it’s only the fear of the unknown that hinder us from having a peace of mind , anything that cost your peace is already too expensive, be it relatives blood sister/ brother ,friends , baby daddy , Ex factor , none of them will share the grave with you , collect your pieces & move on life is full of choices . If you weren’t a bitch before, they should think twice on why you are bitching now HUMAN BEINGS ARE VERY SELFISH & INSENSITIVE , (mudho kik wuondi Ila e ot) (translation) God bless your decisions

Dr. Victoria Kisyombe: “If I can change the life of one person…….. Because behind that person there is a whole family”!

screenshot_2016-11-22-17-11-36-1

Dr. Victoria Kisyombe is the founder of SELFINA, a company in Tanzania that provides micro-leasing to mostly widows and young girls. Victoria is a leader who has used innovation, initiative, and determination to empower women in Tanzania to become economically self-sufficient. Given women’s lack of collateral and resulting lack of access to capital, Victoria began pioneering micro-leasing as a solution. Her pioneering micro-leasing model as an alternative way to financing women has generated praise beyond Tanzania, and efforts are under way to expand the model to other countries in the region. SELFINA has gone on to economically empower more than 25,000 women with a total credit worth 25 billion Tanzanian Shillings (approximately $16 million US dollars). Over 200,000 lives have been impacted through the benefits accrued. screenshot_2016-11-22-17-16-12-1

Victoria’s Startup Story

Victoria’s incredible journey into entrepreneurship emerged as a result of personal tragedy and the unexpected death of her husband back in 1991. For her and their three young children, life was to change inexorably as she was left to deal with the resulting social and economic challenges facing them. An entrepreneurial approach to life thereafter provided the solution.fb_img_1479856343076Originally from Mbeya in the South-West of Tanzania, Victoria’s primary and secondary education took place there before she moved to Kenya to complete her studies. She returned to Tanzania to attend the University of Dar es Salaam, where she completed a bachelor degree in Veterinary Science in 1983. With her degree in hand, she returned to her home of Mbeye to practice as a vet in this largely agricultural community. In 1986 she was awarded a scholarship by Edinburgh University to complete a Masters degree in Veterinary Science, an incredible personal achievement….

screenshot_2016-11-22-17-21-54-1
Dr. Victoria Kisyombe

“If I can change the life of one person it makes a whole difference because behind that person there is a whole family. It’s a family, it’s a society, it’s Tanzania.” 

Credit to? LionessesOfAfrica

“A positive attitude is central to a peaceful mind” Mo Dewji

screenshot_2016-11-21-08-29-20-1

“if you have a voice perhaps this is the time to make a choice of what contribution you ought to make to our world at this critical juncture”!- Mwamvita Makamba

screenshot_2016-11-11-08-47-11-1screenshot_2016-11-11-08-47-03-1

Be who God wants you to be!

2016-04-02-22-51-15-1 fb_img_1478256347522Binadamu wote ni sawa lakini binadamu wote hatupo sawa inapokuja kwa nafasi yako katika hii dunia! Ishi kulingana na matakwa ya Mwenyezi Mungu. Siku zote pigania kufanya kile unacho amini kuwa Mungu amekutuma ufanye katika hii dunia ili kulitukuza jina lake na kuenzi ukuu wake!…… Hatuwezi wote tukawa Wahubiri injili madhabauni kama #MasanjaMkandamizaji! Lazima kuna mtu atatakiwa akae mlangoni akisalimia na kukaribisha wateule kwenye nyumba ya Bwana! Cha muhimu ni kuomba Mungu akufunulie ujue nafasi yako (your calling)! What’s your purpose of living in this planet?! ….. Kuwa yule mtu ambaye Muumba amekutuma uwe siyo kuangaika kushindania, kulinganisha maisha yako na wengine, kugombana, kuchukia wenzako, kuona wivu, hata kufikia hatua ya kuuwa binadamu mwenzio pasipo huruma wakati wewe ndio umekwenda kwenye mstari usio wako!…… #BeYou #BeWhoGodWantsYouToBe..!  #MyDaughter

When God has selected you……!

fb_img_1477883878505

Spiritual abuse: How to identify it!

screenshot_2016-10-16-14-45-11-1 screenshot_2016-10-16-14-47-12-1 screenshot_2016-10-16-14-47-36-1 screenshot_2016-10-16-14-48-55-1 screenshot_2016-10-16-14-49-47-1 screenshot_2016-10-16-14-50-14-1 screenshot_2016-10-16-14-51-17-1 screenshot_2016-10-16-14-52-39-1

“If you ever fall in love……..”!

fb_img_1475607555064fb_img_1475725773145

Source: Doctor Ask Why Facebook page

Please note, Jackline picture has nothing to do with the story. I just used it to decorate the page!