Hot shot of the day

FB_IMG_1467388074023Mzurijee!! Waukweli huyu, manufactured by God’s own hands! Siyo wakichina wale ambao wanakuwa made by “frozen papa” ?? ushawahi kuona hiyo movie ambayo John Travolta ame act? Inaitwa “Look who’s talking now” ya zamani sana halafu sikumbuki ni series ya ngapi as zipo kama 4 hivi…….anyway mtoto mtamuje huyu, too perfect! Angekuwa wangu ningemuita Precious au Cecilia jina la mama yangu……..Mungu amlinde na mapepo yote ya hii dunia!

My attitude today: Taking ownership of my life!

2016-07-01 14.50.48

Kifo cha Nyani miti yote huteleza- Mkandara Ebbie

2016-06-30 09.17.03Naomba iyelewe kuwa Siasa isn’t my cup of ‘protein smoothie’! and my knowledge is very limited kwenye maswala ya siasa. Hivyo naogopanga sana kuongelea vitu ambavyo siwezi kutolea ufafanuzi. Ila nachoweza kusema hawa wanasiasa wote haijalishi wa inchi gani, wote wana “personal” interest in everything they do or say. Hivyo kabla ya kushabikia mtu sana Jaribu kukaa pembeni na utafakari kama kweli hakuna any hidden agenda kwani usipende kuwa Nyumbu! With that being said; mimi binafsi sitokaa niongelee Siasa hapa kwa hii blog! Lakini nikipata mjadala mzuri uliopangiliwa vizuri with point za kuelimisha, nita share nanyi humu! Na ninaomba mtu asiniulize msimamo wangu au maoni yangu kwani sitakuwa nayo! I hope mtanielewa!………haya nimekutana na huu mjadala hapa by Mkandara Ebbie Screenshot_2016-07-01-13-21-38-1Screenshot_2016-07-01-13-22-05-1Screenshot_2016-07-01-13-23-15-1Screenshot_2016-07-01-13-20-43-1Screenshot_2016-07-01-13-24-21-1

Cheka uongeze siku za kuishi

Screenshot_2016-07-01-02-23-42-1??? Katarina umepinda

#FBF: DICOTA 2012

FB_IMG_1467387426171Ngoja nianze kwa kicheko jamani kwani najua wengi mtanicheka sana ??? hapo kwenye picha ni mimi na brother James Kitia back in 2012 in Chicago kwenye DICOTA. Jana niliweka post ya James  (soma hapa) hapa baada ya mwanangu kunionyesha hiyo story. Mwanangu alikuja kwangu akasema “umemuona rafiki yako?”…………yeye anajua my story na James ndo maana akasema “rafiki yako”! Sasa ngoja ni share nanyi hiyo story……..

Jamani mie na maneno yangu yote haya ESCALATOR / moving stairway / electrical stairs ni ugonjwa wangu mkubwa ??? Sipiti kwenye Escalators hata kwa dawa aaa.???  Yani hata kuzitizama naona kama nataka kuzimia ??

Sasa wakati nakuja U.S.A kwa mara ya kwanza kabisa, nilikuja kwa ndege ya British Airways- Business class. Sasa tulivyo fika Heathrow Airport ikabidi twende hotelini kulala mpaka kesho yake ndio tulikuwa tunaondoka. Humo kwenye ndege ndipo nilikutana na kaka yangu James Kitia. Yeye final destination yake ilikuwa Chicago, Illinois na mimi ilikuwa Berrien Springs, Michigan.

Sasa basi shuttle za kwenda hotelini zilikuwa underground ambapo ukitaka kufika in 5 minutes inabidi utembee na Escalators au la sivyo inabidi utembee kawaida bila escalators ambapo itakuchukua not less than an hour!…….Mjaluo Luo mimi mbona machozi yalinitoka?? ??? …….basi hapo ndipo my coolest brother, said to me “worry not my sister, nitakusaidia”  Talking about raising a gentleman?! Someone did his / her job right!! Kudos to James’s parents!

Yani sikumuomba James msaada, but he saw my desperation and offered his helping hand to me! James akasema subiri hapa kwanza, akapeleka our hand luggages first halafu akapanda tena juu kuja kunifuata! Akaniambia nimshike nakunisaidia kushuka. Japo kwa kilio kikubwa sana lakini tulifika chini salama??

Bahati mbaya tulikuwa tunakwenda hotel tofauti hivyo tulipanda shuttle tofauti. Na pia muda wetu wa kuondoka tuliondoka mida tofauti, hivyo hatukuonana tena. Lakini nilikuwa namuongelea sana kwa watu walio nizunguka including my daughter. Baada ya miaka mingi kupita kwa mara ya kwanza tukakutana Chicago nakupiga hiyo picha ?. Wakati nafanya malipo ya DICOTA yeye ndo alipokea simu yangu na kunisaidia basi tukakumbukana hapo.

James, najua nilishawahi kukushukuru kwa ukarimu wako. Lakini naomba tena leo nirudie kusema asante sana tena sana. Mungu aendelee kukubariki katika kila jema ulitendalo wewe na familia yako. ??

NOTE: Ugonjwa wangu na Escalators bado hupo pale pale hadi leo hii! It’s just my worst nightmare, sijui kama nitakuja fanikiwa kuzipanda ??

Kutoka Facebook

FB_IMG_1467388033935Simfahamu huyu dada lakini haiondoi ukweli kuwa kapendeza! Ki traditional zaidi ?? naona kama anafanya biashara ya kuuza hivi vitu. Basi kama umependa mtafute, anapatikana kwa number ? 07764535835!

Words of wisdom

FB_IMG_1467350282884FB_IMG_1467332521054

Dad is a son’s first hero! Well done James Kitia!

Dad’s Promise To Build Son A Toy Now International Project To Help Others

By Linze Rice | June 27, 2016 6:03am

Stuart Marsh (top left) and James Kitia (top right) stand with Kitia’s sons, Aza (left) and Benny (right) with an early prototype of the truck, as well as a new version and a soccer ball, also made by Kitia for his sons to play with.

 EDGEWATER — Growing up in Tanzania, James Kitia knew two things: He loved to play soccer, and he knew how to be resourceful when it came to making toys.  Years later, those skills are coming in handy as Kitia and Stuart Marsh, co-owner of Edgewater Workbench, a 3D printing and wood laser-cutting shop at 1130 W. Thorndale Ave., embark on a project that will help build a new soccer stadium in Kitia’s hometown, where he now runs a soccer camp of his own.

On Thursday, the pair launched an Indiegogo campaign to help fund some of the base costs in order to support initial production.

Screenshot_2016-06-30-21-17-40-1
James Kitia (left) and Stuart Marsh (right) show how the top portion of the truck can be easily assembled in a number of different combinations.

Those funds will be raised through The Puzzle Truck— a toy Kitia secretly designed for his car-loving 10-year-old son, Benny, after promising to improve on an earlier, more flimsy model he’d made using household items. Kitia said he wanted his son to play outside, but without using non-physical toys like remote-control cars.

Using cardboard and plastic bottle caps, Kitia fashioned together a toy truck and added a string for his son to pull.

Aza said he loved the truck, but it was too weak and would easily tip over with a breeze.

Kitia said he “promised” to make a better one.

Over the next few weeks, after he would drop his sons off at Swift Elementary School, he walked over to Edgewater Workbench, where he planned to use the shop’s wood laser-cutter to create a stronger version of his earlier prototype.

He said Marsh told him his toy truck idea had the potential to be “big” — together they could create and sell lots of trucks that many kids could use and that could benefit a larger cause.

That’s when Kitia’s soccer team in Tanzania came to mind.

“If I have the opportunity to help them, that’s what I want to do,” he said.

James Kitia is a soccer professional who both teaches and plays, and will use some of the funds from the puzzle trucks to build resources for his soccer camp in his hometown in Tanzania. 

So the two got to work putting together plans, spending 2-5 hours a day coming up with the Puzzle Truck toy.

Using lightweight wood panels that slide and clip together, the toy encourages family participation, creativity and physical activity, the duo said.

The truck comes in a kit to partially be assembled with parents and partially left to the child’s imagination.

Portions of the proceeds from each of the trucks will go toward building a soccer stadium for more than 40 soccer clubs in Tanzania, each of which has about 30 players.

Kitia started a soccer camp there in 2008, which now holds regular tournaments that draw upward of 10,000 spectators who must sit in dusty fields or trees in order to watch the games.

The local government there has already agreed to donate 30 acres to the camp for free in order to build the stadium, Kitia said.

A completed puzzle truck.

Having lived in the U.S. for the past 13 years, Kitia said he appreciates and understands now more than ever how much soccer means in his homeland, and wants players to feel rewarded.

“Being here, I see my country different now, I see how much people love soccer,” Kitia said. “I want to show the kids we value your talents.”

Kitia’s sons, Benny and Aza, 12, said they’re inspired by their dad and what he and Marsh have come up with, prompting Benny to add he might someday want to open a manufacturing plant of his own.

Most of all, the boys said, it taught them that one idea can have big effects.

“It’s pretty cool to watch my dad going from making one truck for me and my friends to this giant project,” Benny said.

Aza agreed. ….”I think it’s pretty amazing to go from … a father-and-son thing to something that can help people across the world,” Aza said. “This could be just one way to do something extraordinary in the world.

“I think it’s cool something so simple can turn into something else that can help improve peoples’ lives in another country.”

Source: dnainfo.com-Chicago

Kutoka Facebook

FB_IMG_1467339666238Foster katika ubora wake! Kapendeza sana. I love her, such a humble lady……….God keep blessing her ???

Cheka uongeze siku za kuishi!

Screenshot_2016-06-30-17-00-54-1????? Huyo ndio Akothee ????

Tusikate tamaa watu wangu kama una nia-Millard Ayo

Screenshot_2016-06-30-19-16-22-1Screenshot_2016-06-30-19-17-01-1

My attitude today: This is my life. My only, one-time chance to be me!

IMG_20160630_074954I’m lucky enough to be different, I don’t have any desire for change! There are lots of individuals that I admire and respect, but no one second had wished to be them! I’M THE ROLE MODEL OF MY OWN LIFE!

Hot shot of the day

FB_IMG_1467297877670Linda Bezuidenhout, mama wa LB, Kichuna cha Kizaramo, muke ya Mali Kimesera. Kama kawaida yake, kupendeza ni jadi yake! Hata kama hataki lakini wapi nguo zenyewe zinajipanga kwenye mwili wake kwani si utani kajaliwa mwili ambao unakubali kila vazi! ?FB_IMG_1467297931295ni juzi kati alipokwenda kusalimia family friend wao huko Atl…..FB_IMG_1467297873327Too cute! Hii Ramadhan isiishe jamani, ma celebrities wetu wanapendezaje sasa ????

Dear Immigrants, People of Color and all bad Tippers- by Faith Mbori

2016-06-30 09.17.03Nimekutana na huu mjadala wa kutoa “tips” kwa wafanyakazi ambao wapo kwenye ‘hospitality industry’ kama waiters / waitress, wafangizi, na wahudumu wa sehemu mbalimbali. Je wewe huwa unatoa tips kama unavyotakiwa au niwale ambao ukisha kula unapangusa mikono na kwenda zako hata asante kwa wahudumu husemi?! Hivi unajua hata wale wafangizi wa hotelini huwa tunatakiwa kuwapa tips! Je wewe ukilala hotelini huwa unatoa tips kabla ya kufunga mlango au ndo unajiondoa kama ulivyo?! …….  kwa kawaida kama mfagizi hayupo karibu unatakiwa uwache tips yake juu ya kitanda au sehemu ambayo ataweza iyona. The same way unavyo achaga tips mezani kwa muhudumu wa chakula!…….. sasa kuna dada ambaye anaitwa Faith Mbori, mmiliki wa “Tamu Flavors” The Authentic Kenyan Dishes. Alianzisha mjadala huo kwa kusema hivi ……… ?

Faith Mbori
Faith Mbori

Dear Immigrants, People of Color and all bad Tippers,

Please learn to tip your servers. You are making us , people who tip well get bad service because they think we won’t tip. If you can’t afford a tip of 20% , try 15% please or stay at home, Google and prepare the meal you were going to order in that restaurant.

Dear Servers, please stop stereotyping too. That person you think won’t tip you may be your angel. I had a bad experience at Apple’s Bees I was once a server, so I played it cool.

Anyways he still got a 25% tip . Hope he will learn to treat people well. Have a great day bad Tippers and Servers FB_IMG_1467295697754Screenshot_2016-06-29-10-33-48-1Screenshot_2016-06-29-10-34-34-1FB_IMG_1467295714840Screenshot_2016-06-29-10-34-22-1Screenshot_2016-06-29-10-34-43-1

Sasa angevaa kimini si ingekuwa ugomvi?-M.M Mwanakijiji

Screenshot_2016-06-28-14-14-16-1Neno la Kejeli:  Sasa jamani, hata kama ndio kujiita “wakosoaji” ndio imekuwa kukosoa hata Naibu Spika kwa vile kavaa suruali na anaosha magari? Sasa angevaa kimini si ingekuwa ugomvi? Halafu, wenzetu hawa mkienda kwenye nchi za watu huwa mnatembea mmefumba macho? Mbona mnaweza kupata shida maana unaweza ukadhani kila mtu kajidhalilisha kwa nguo alizovaa. Ukweli ni kuwa Naibu Spika katoka vizuri, kapendeza, na katoka kwa heshima.

2016-06-30 09.17.03Akili za watu wengine zimejaa ushetani! Saa zote mambo yao na maongezi yao ni kuangalia vitu au watu katika mtazamo hasi! Tabia ya mtu haipimwi au haiangaliwi kwa kutumia mavazi mtu anavaa, kama ni hivyo basi wanawake wa Al-Qaeda wangekuwa Malaika! Lakini nguo wanazo vaa na mambo wanayotenda ni tofauti kabisa!…………Kuna wanaume ambao akili zao zimejaa uchafu wa ngono tu! Na hii haijalishi mwanamke amevaa vipi bali ni wao wenyewe na akili zao. Na hawa ndo wanaume unakuta wanabaka watoto wadogo. Sasa mtoto naye alivaa nguo fupi? Ni akili zao na uchizi wao!FB_IMG_1467295641922

Hot shot of the day

Screenshot_2016-06-28-08-54-00-1Mwamvita Makamba, kapendeza sana. Mimi binafsi sipendi kufunga vilemba lakini huwa nasifia kama mtu kapendeza. Siyo kwamba nachukia vilemba, hapana! Bali sipendi kichwa changu kubanwa banwa, naona kama nashindwa kupumua! Nilishawahi sema kuwa hata zile rasta za “Kimasai” mimi nimewahi kusuka mara moja tuu, tena kwa kulazimishwa and within a week nilizitoa! ??? …..anyway, Mwamvita kapendeza sana!

My attitude today: Fool me once; shame on you! Fool me twice; shame on me!

2016-06-27 18.01.27

If you aren’t prepared to carry her heels when she’s tired, then you shouldn’t be next to her when she’s in the spotlight!

DEAR MEN, FB_IMG_1467119325495Sometimes it’s not just about opening the door to let her in first, any guy can do that when he knows that there’s people watching – just for the sake of the credit. Rather make sure her seat belt is on before you start driving. Sometimes it’s not about walking her down that isle where there’s a lot of people just because you want everyone to notice her and she’s looking fancy in her heels. You feel proud to be with her, yes but you also need to appreciate her effort. Walk her down a route that is comfortable with her, that’s less painful and less risk of her actually getting injured. If you aren’t prepared to carry her heels when she’s tired, then you shouldn’t be next to her when she’s in the spotlight. The strength of your bond should never be determined by the number of likes that your pictures with her actually receive on social media. You should never let the opinion of a friend determine whether you spend your life with her or not. We don’t often choose who we fall in love with, it just happens. You then realize loyalty is no longer an option. You begin to plan things in your head with her. All those love songs that you’ve always hated start to make sense to you. No matter how much of a tough guy you claim to be, she has tamed your soul without you actually noticing it. You begin to talk about her unknowingly to your friends, you think about her as soon as you wake up, during the day and before you sleep. When she starts to tear, you shouldn’t offer her something to wipe it off rather remain with her and let her know she’s not alone, hold and let her know that she has someone to fall back on. It’s not about only being with her on special occasions just to make her feel special in front of the world. It’s about being with her even when no one is watching. At the end of it all, it’s not about how much time she spends with you, it’s about the feeling you get every single time you see her name popping as a notification on your phone… Yes, it’s that same person you’re thinking about right now!

Source: Get-inspired by Ti-Sha 

Kutoka Facebook

FB_IMG_1467119707387African Queen all the way from Geita! Pendeza sana FB_IMG_1467119656325❤❤❤

The engine of a giant ship failed to start!

The ship’s owners tried one expert after another, but none of them could figure out how to fix the engine.

Then they brought in an old man who had been fixing ships since he was a youngster. He carried a large bag of tools with him, and when he arrived, he immediately went to work. He inspected the engine very carefully, top to bottom.

Two of the ship’s owners were there, watching this man, hoping he would know what to do. After looking things over, the old man reached into his bag and pulled out a small hammer. He gently tapped something. Instantly, the engine lurched into life. He carefully put his hammer away. The engine was fixed!

A week later, the owners received a bill from the old man for ten thousand dollars.

“What?!” the owners exclaimed. “He hardly did anything!”

So they wrote the old man a note saying, “Please send us an itemized bill.” FB_IMG_1467062470100The man sent a bill that read:

Tapping with a hammer $ 2.00

Knowing where to tap $ 9998.00

Effort is important, but knowing where to make an effort makes all the difference!

Source: Dr. Ben Carson Facebook page, 

Blog