Category Archives: Inspirational stories

Birthday wishes!

screenshot_2016-10-11-08-50-15-1fb_img_1472436063790Happy belated birthday watoto wa Jackline na Dr. Mengi!………….Nimependa sana jinsi walivyo fanya simple! Kwakweli mie naona kuwa hivi ndivyo inavyotakiwa kufanywa birthday za watoto ambao wapo chini ya umri wa miaka 12. Just make it simple family thing. Zaidi mfundishe mtoto kushukuru kwa Mungu na kutoa sa!aka ya shukrani……….. Anyway, mbarikiwe sana the Mengis’ family!

The Fashionadoz by Mariam

screenshot_2016-10-07-12-13-22-1screenshot_2016-10-04-22-11-28-1 screenshot_2016-10-05-21-52-51-1 screenshot_2016-10-05-21-52-58-1screenshot_2016-10-07-12-13-52-2fb_img_1472436063790This girl got talent, way bigger than her mother Ms LB! Yani her sense of fashion kwa midoli is way too cute and unique! I can see a big bright future for her kwasababu hapa alipo ndipo moja ya nchi kuu duniani ambapo midoli kwa upendwa siyo tu na watoto peke yake bali na watu wazima. Yani Mungu ajalie afike mbali sana!………….. congratulations Mariam you are the best!

7 reasons why getting married later is not a terrible thing.

Before I got married people did not let me hear word-it was as if they looked for different opportunities to remind me that, Nne, time is no longer on your side, a woman is like a flower and withers quickly, “ale obirin o kin kpe su”…they were only wishing me well. It is good to get married early (if it happens) but if it doesn’t…here are 7 reasons why getting married later is not a terrible thing.

1. You have time to DISCOVER yourself. The emphasis is on “discovery” because a lot of people go through life not knowing who they really are, the more you wait before getting married the more you’re likely to discover yourself, your ideal career and generally the type of life you want.

2. Perspectives change as we get older. What I liked and wanted when I was 19 totally changed when I was in my mid twenties-even though I could swear say na like this I like my own thing at 25, I ended up not liking at 27. People change, give yourself allowance to grow and change.

3. You have time to be “free”. Make decisions without real consequences. Travel. You can even afford to live from alert to alert without any sense of responsibility. Why do you think there’s the term “responsible married man/woman”? You can buy anything with your last dime. Sleep over at your friends house 3 times a week…you no send anybody. Go on soun, explore!

4. You grow up. Maturity for some people is not about age, but with age comes experience and experience teaches you how to handle life. Your expectations are more realistic-you don’t believe marriage is about taking selfies, seksing and living happily ever after. Marriage is not for children.

5. Build your future. If you’re smart, the time before you get married is time you can use to focus on your career, start a business, even it it fails, you start again all because of point 3. Invest your self in building and saving for your future because marriage may “slow you down” career wise if you’re a woman.

6. You know what you want. Not because you know it all but because you’ve had time to discover yourself, what you like and what you refuse to deal with (I use the term “refuse” because it’s a choice you’re making to deal with something or not). You basically know yourself and now you know yourself you know what you who and what you want in a relationship and marriage.

7. You are grateful. When you eventually get married you appreciate it more because you remember all the times you spent catching bouquets at all your friends weddings (not that it’s a terrible thing). Single? You’ve been there, done that and you are 100% in this phase of life you’re in now. You do not feel like you missed out on anything.

These are some of the many advantages of getting married later so if you’re still single…enjoy it while it lasts and appreciate every season of your life. Let me know if you got married later and the advantages and disadvantages you faced in the comments section.

SOURCE: We African Nations

 

The humble ‘abode’ of Dewji’s family

screenshot_2016-10-02-16-35-41-1screenshot_2016-10-02-16-37-51-1

Have you noticed this?! ………..The Mengis’!

screenshot_2016-10-03-22-06-33-1Have you noticed this! Jackline using her last name and yet putting their picture as a cover page on Facebook! Honestly speaking this shows that Dr Mengi is a very humble nontraditional man! How cute my shemeji ??Changing last name after marriage is so 70s! Though I’m not sure kama Jackline amebadili kwenye legal papers

fb_img_1472436063790Kwakweli I have to admit kuwa I am way too proud of all the sacrifices my dad had to make to get our family where we are today to just give up my last name!! Sisemi kuwa baba yangu ni mtakatifu, hapana! He has his own weaknesses like any human being! He has done his own fair share of mistakes like any other parents, but with all of that I’m still proud of him and love him so much enough not to replace his name with anybody else’s name!…….My names is part of my identity of who I am. Sioni kama naweza chukua jina la baba wa mtu who had nothing to do with who I’m kuwa ndio my identity. I hope  “Mr right’s daughter” will continue to be proud of her dad to think the same as I do ??. I don’t and will never mind publicly to be called by his last name or anything that doesnt deal with legal or important issues. Yani he can name all the businesses with his own desired names hata bank weka majina yako; I don’t care at all! But just let me keep my names as you found me ?? I know I might seem harsh but I’m a straight up kinda person maybe I should say I got it from my aunties ?? none of my aunties walibadilisha their last names! Though their husbands were traditional men but never cared at all. After all sidhani kuwa marriage is all about woman changing name. Kuna wanawake wengine waliolewa wakabadilisha last name zao utadhani wana mapenzi ya kweli kumbe mmh! Maigizo tu! mengi-and-jacqAnyways, Kudos to Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dr Reginald Mengi ❤❤❤❤ them!

Dada wa Taifa akabidhi mchango wake!

screenshot_2016-09-29-14-46-43-1fb_img_1472436063790Dada wa Taifa kama ilivyo ada yake kutoa na kujali watu ni tabia yake ya asili, basi ndivyo alivyo fanya siku ya leo. Amekabidhi mchango wake kama alivyo sema huko nyuma kuwa atatoa sehemu kubwa ya mshahara wake wa mwezi huu kuchangia maafa ya Kagera!…..Mungu azidi mbariki sana.  We love you ShyRose ❤❤

Have you heard her story?!……Lizzie Velasquez was voted the ugliest at age of 11, now she gives amazing speach about God…!!

lizzie-velasquez_3-412x620 …….”Lizzie Velasquez was born with a rare disease that makes it impossible for her to gain weight and has left her blind in one eye. One day, at only age 11 she discovered a video that declared her the “World’s Ugliest Woman.”

Since she was in kindergarten, her parents told her ” just be your self”… Now, she gives a testimony that God and faith is first important in her life, so she has the power to continue. She believe that God has a special plan for her……” 3fddc-gtrgrttrgtrfb_img_1472436063790It is only by the grace of God! He can use your story for His glory! Human beings are the most dangerous creatures of all time!………… Please take your time listen to her story then ask yourself how many people are crying because of your bad decisions? How many have no hope because of your unkind words and or deeds?! How many have given up because of you?! Don’t you think its time for change!! Calling people names based on the physical disability or mental illness or whatever that appears abnormal to you is not cool and very unhuman! ………

fb_img_1472436063790What she experienced no one deserves to experience it under any circumstances! This can only be achieved by each-one of us starts by acknowledging the need for change and begin the changing process! It begins with you!

Asante sana Malia Obama!…….Ujumbe huu uwafikie TZ wote duniani!

screenshot_2016-09-25-14-12-20-1fb_img_1472436063790Ujumbe mfupi lakini mzito sana! Yani huu ujumbe unawahusu sana Watanzania! Kuanzia viongozi na raiya wake! Siasa siyo chuki! Siasa siyo uwadui kama Watanzania wanavyo fanya! Haya “dongo” hilo walitupiwa Republicans too bad limewapata na Watanzania!

Matukio katika picha: Oprah Winfrey na timu yake

screenshot_2016-09-24-13-23-17-1fb_img_1472436063790Nimeipenda hii picha ya Oprah Winfrey na timu yake wakiwa teyari kwenda kushuhudia ufunguzi wa makumbusho ya historia ya watu weusi hapa Marekani! Tukio hilo lilitokea jana mjini Washington D.C. ambapo makumbusho hiyo imejengwa………… Nyuma ya Oprah ni mpenzi wake (30+ yrs boyfriend / lover) Stedman Graham, wajukuu wa Stedman (walio vaa pink, and white dress), Oprah longtime best friend Gayle King (kulia) pamoja na Kirby ambaye ni binti yake Gayle King and Oprah’s guardian daughter…………. Walipendeza sana!

Kheri ya miaka 56 ya ndoa kwa Mzee Mwinyi na mama Sitti Mwinyi

screenshot_2016-09-25-07-37-57-1 fb_img_1472436063790Japo kwa kuchelewa, naomba niwatakie kheri ya miaka 56 ya ndoa baba na mama Mwinyi!…………Miaka 56 siyo mchezo! Tunashukuru wazee wetu kwa kuweka mfano bora kwa taifa letu! Tunawaombea kheri ya maisha marefu zaidi na baraka nyingi sana. Happy 56th Wedding Anniversary to our former President Hon. Ali Hassan Mwingi and our former FirstLady Mama Sitti Mwinyi! ❤❤

Happy early birthday Zari!…… Hats off to you mama Tee and Diamond!

screenshot_2016-09-22-16-32-26-1 screenshot_2016-09-22-16-32-36-1Wow!………Happy birthday mama Tee wa ukweli the real bosslady! Wishing you many more countless blessings……….! I’m speechless! Laughing so hard as I know someone people right now their BLoodPressure is going Up & Down!!! Kufa hawafi lakini chamoto wanakiona!! Namacho yao “Wanakodoa kodo wanakodoa”!! #Salome ??? Mnyama umetisha sana mtoto wa Tandale!! ??????

Thank you God I’m not dead!

fb_img_1474469660288screenshot_2016-09-21-09-53-57-2

William Kamkwamba: The African brain!

screenshot_2016-09-21-09-56-17-1

Jitambue, jitafakari, jiamini, anza safari- Jackline Ntuyabaliwe

screenshot_2016-09-21-09-12-57-1

“Ningependa kusisitiza kuwa heshima ni lazima kazini na hata kwa jamii inayokuzunguka”-Hoyce Temu

screenshot_2016-09-20-09-23-32-2screenshot_2016-09-20-09-23-39-1

Bado haujachelewa!

screenshot_2016-09-19-11-18-40-1Penye nia pana njia! Kama bado unapumzi ya uhai na afya tele basi bado unaweza kutimiza ndoto zako haijalishi una umri gani! #UsikateTamaa……..Very happy TD Jakes anakuja na Talk show yake kwenye OWN! I’m a big fan of both Oprah and TD Jakes! Can’t wait!…..    Hii itakuwa ni talk show yake ya pili.

Jokate Mwegelo a.k.a Kidoti! Hongera sana

fb_img_1474295648993Holy Cow! What a gorgeous lady! Nasikia kumbe huyu ndo wifi yangu kwa Ali Kiba! My brother! ? across the board! Hongera sana kaka Kiba kwa kumiliki binti mrembo, na mkarimu namna hii! fb_img_1474295587272Hongera sana Kidoti kwa kuja na school supplies za brand yako! ………Tumuunge mkono mrembo wetu ili azidi saidia watoto haswa mabinti wenye uwezo mdogo!fb_img_1474287848703Wow! Too cute!screenshot_2016-09-19-09-33-47-1How nice! ??

 

“Usikate tamaa” by MeTL

Leo tumezindua rasmi kempeni ya “Usikate Tamaa” fb_img_1474070235644 Kampeni hii ilizinduliwa na Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Bi Fatema Dewji-Jaffer.  “Usikate Tamaa” ni kampeni kuhusu utoaji wa matumaini kwa jamii kupitia simulizi za watu waliokuwa na kipindi kigumu na wakafanya vyema, simulizi hii ni kwa ajili ya maendeleo ya kijamii.

Chapa yetu inajitofautisha sana na wengine katika soko si kwa sababu ya kuuza soda tu bali ni ile imani yetu kwamba kwa kila tufanyacho tunabadili maisha ya watu wetu.

Katika kampeni hii hatukulenga tu kufanya biashara lakini, MeTL kupitia chapa yetu ya Mo tunataka kutengeneza hisia, tunataka wananchi wetu kuhamasika wakati wanakunywa vinywaji baridi vya Mo, tunataka vinywaji vyetu kuwapatia matumaini zaidi kuendelea kupambana licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali fb_img_1474070242848Na sisi katika MeTL kupitia chapa yetu ya Mo tunaheshimu huo uwezo wa kutokata tamaa ambao watu wanao bila wao kujua, tunataka kuheshimu hilo, tunataka kuwapa tunzo watu hawa wa kawaida, tunataka kuwapa sauti ili watu wengine wawaige, hilo ndilo hasa linalomanaanisha kampeni hii ya Usikate Tamaa, huu ni mwanzo tu lakini tuna mengi sana katika siku zijazofb_img_1474070250224Katika uzinduzi wa kampeni yetu tulipata fursa ya kusikia simulizi za msanii maarufu wa miziki Tanzania, Sheta. Alisimulia magumu na vikwazo aliyopitia mpaka kufikia mafanikio bila ya kukata tamaa

Ujumbe wangu kwa Maria Sarungi-Tsehai

fb_img_1472436063790Siku ya jana kama ilivyo kawaida yangu nilipita huko Facebook kuangalia ni nini cha ku-share nanyi siku ya leo. Basi nikakutana na huu mjadala ambao mpaka muda huu nawaletea bado muhusika hajatoa majibu au kutoa ufafanuzi wa kutetea alichokisema. Hivyo sijajua kama ameona hamna haja ya kutoa maelezo zaidi au hakuona maoni ya mmoja wa mashabiki zake!……..Embu soma kwanza hiyo status iliyo andikwa na Maria Sarungi-Tsehai na pia usome maoni ya kaka Tommy kabla ujasoma mtazamo wangu!
img_20160916_085301fb_img_1472436063790Mmmh! Labda nianze kwa kusema kuwa ni kweli nakubaliana na Maria kuwa maisha ni “safari”! Lakini kitu amabacho Maria ameshindwa kuelezea watu ni kuwa hii safari ya maisha kila mtu ana yake kama ilivyo kwa safari nyingine! Kila mtu alikuja dunia kwa suku yake, muda wake, na ataondoka hapa duniani kivyake! Hatukuja wote siku moja hivyo safari zetu haziwezi fanana hata siku moja!

Kama zilivyo safari zingine watu ujiandaa na kubeba vitu tofauti wanapo safiri. Ndivyo ilivyo safari ya maisha yetu hapa duniani katika kile tunacho amini kukimbilia kama our destiny! Huwezi hata siku moja kulinganisha safari ya mtu aliye pitia maisha ya unyanyasaji wakati wa utoto wake na wewe ambaye umeishi maisha ya upendo siku zote! Safari ya mtu ambeye ni victim of child abuse ni tofauti sana na yako wewe Maria kwani huyu mwingine anasafiri na mzigo mkubwa mgongoni kwake ambao teyari ni kikwazo cha yeye kufika katika safari yake akiwa salama bila kukata tamaa na kwa speed ambayo wewe unaenda nayo!

Safari yako wewe Maria haiwezi kufanana na mtoto aliye zaliwa kwenye mazingira duni “uswahilini”! Ambapo wazazi wake siyo tu hawakuwa na uwezo kifedha bali hata elimu ya maisha ya hii dunia hawana! Hivyo nakubaliana na Tommy kuwa hatuwezi wote kuwa wakwanza kwani hiyo siyo issue! Naomba uelewe kuwa sisemi kuwa ni dhambi kwa wewe kuzaliwa Masaki, kukulia Masaki, na kuishi Masaki! Hapana! Ila nilitegemea kwa elimu uliyonayo na exposure uliyonayo ungekuwa muelewa zaidi katika maswa haya ya kufikia malengo a.k.a “safari” kwani hakuna dhambi mtu kuwa wamwisho kufika! Ulichokisema kinaonyesha some sort of dharau kwa wengine ambao bado wapo safarini, ego, na ushamba fulani wa mawazo mgando! Napia inapingana na msg ambayo uliandika hivi karibuni. Soma ? Mwanariadha

Umesema “ukijaribu kuhama-hama njia kila wakati bila mpangilio utapata madhara” ??? Kwakweli imenibidi nicheke kwanza! Hivi, unajua hii miili yetu tunatofautiana?! Kuna watu wapo safarini ambao ni wagonjwa (iwe kifedha, maradhi ya kawaida ya mwili, psychological trauma, emotional abuse, au kiroho) hivyo saa nyingine inabidi wasimame bila kutegemea!! Unafahamu kuwa wanapo rudi kwenye bara bara kuna uwezekano mkubwa sana wasirudi kwenye the same line waliyokuwepo mwanzoni?!! Na mtu utajuaje kuwa hii bara bara ni nzuri kwangu au hapana bila kujaribu kupita?! Mbona Prof. Sarungi aliingia siasa?! Mbona wewe sasa unataka kuwa entrepreneur, wakati huo huo unataka kuwa mwana harakati, na bado mambo ya urembo umeshikilia? Tofauti yako wewe na hao wanao hama hama bara bara ni nini?! Siyo wote wamezaliwa Oysterbay kwenye bara bara za lami, mipangilio ya mitaa, na taa kubwa zikimulika wakati wagiza!! Inabidi wajaribu kila kitu kabla ya kujua nini ni wito wao katika hii dunia! 

Maria, najua ni ngumu sana kwako kuelewa hichi ninacho kiongelea kwani wewe huja experience maisha halisi ya mtoto wa “mlala hoi” wa Tanzania au mtoto wa “uswahili”! But my dear don’t only use your brain to think but use your heart as well! Try to be sensitive na hizi msg zenu nyie watoto wa “Masaki” haswa kama kweli nia yako ni ku-inspire people na kuwa mfano mzuri kwa jamii!! katika maisha kinacho jalisha ni uthubutu wa kuanza safari na si kuwa wa kwanza kufika. Hata kama itakuchukua mika mia moja as long as umejaribu na umefika that is all that matters! Siyo lazima kila mtu atembee au kuendesha safari yake kwa speed yako wewe ndio uone kuwa wapo kwenye njia salama! Acha watu watembee kwa speed ambayo wao wanaiweza. Wewe jukumu lako ni kuwahimiza wasikate tamaa na kuishia njiani na siyo kuwatupia maneno ya ukandamizaji wa kisaikologia!! Every ‘saint’ has a story to tell and who are you to judge!

“Empathy and laughing at others’ misery”?!

one’s past and one’s present. Based on the world we live in, I don’t think it’s an outrageous statement to make.

Most people lack empathy for themselves, therefore they are unconscious of their own emotions and motives – and by extension they can’t empathize with others. I often hear people say, “Oh, he’s just this weird smelly man.” Or, “He was such a good boy when he was little, and now he’s so mean, I don’t know what happened!“ Or, “She’s just a dumb, filthy whore, how pathetic.” Or, “Haha, he’s so stupid! How could he do this kind of stuff, that‘s retarded.” And so on…

Every person was a child once. However, a lot of people fail to understand that. Since they haven’t processed their own past, they see others as they are right now – and that’s it. They can’t comprehend that this person was a child once, and a lot of things happened before (s)he became a person that they are today. They didn’t just fall from the sky being 40 years old and grumpy or stupid, or aggressive, or ignorant, or scared, or promiscuous, or lonely – or smart, or funny, or creative, or empathetic, or kind. A LOT of things happened before that, leading to the point where they are today.

This “weird smelly man” probably was neglected and abandoned a lot as a child and hasn’t developed proper self-care and social skills, so he’s probably lonely and miserable.

This “mean guy” probably suffered a lot of abuse and control from others in his early and later life; therefore he had to obey and seemed “nice”, but actually was very scared and hurt, and his meanness in adulthood is a defense mechanism from a potential attack.

This “filthy, pathetic whore” probably didn’t have loving, protecting parents, and was sexually abused, presumably several times; therefore she tries to normalize what happened to her by acting promiscuously – and, in her own way, tries to feel needed, valuable, and loved.

This “stupid person’s” preferences probably were ignored and he was forced to do stuff that he didn’t like, and he never had a great teacher, and he was punished for making mistakes; so he just gave up and stopped trying, and dissociated from his true emotions, interests and talents.

Trying to understand oneself and others is much harder than just saying, “Oh, he’s just weird” or, “She’s so dumb.”

People who haven’t processed their own life tend to make fun of others, laugh at their pain, put them down, and demean them in various other ways.

This behavior says two things about such people:

  • One: these people feel insecure and unhappy about their own lives.
  • Two: somebody treated them the same way they are treating others and they haven’t processed these horrific experiences.

People laugh at others’ pain and misery, and demean others because they themselves feel unprocessed pain and are unhappy.

If you understand your own pain, it’s impossible to laugh at other peoples’ misery or harm others.

Self-archeology leads to self-empathy – and that by extension leads to more empathy for others, especially for children.FB_IMG_1473428092899Source: Empathy and Laughing