Hot Shot of the day

FB_IMG_1438805389860Mwaju, my friend, longtime neighbor product za Mgulani  Primary school ? watoto wa Mwl. Mwailafu siye lol! Kapendeza sana na batiki yake plus minimum makeup!

Heshimuni Wanawake enyi Mbuluraz!

Hapa duniani naweza sema 99% tumezaliwa kwa mfumo mmoja tuu (1% nimeacha kwa wale wanao pandikiza mimba kutumia utaalamu wa kisasa). Lakini kwa 100% bila shaka yoyote nasema kuwa wote tumekuja hapa dunia kwa kutumia mwili wa mwanamke! Hivyo kama ni mtu mwenye akili timamu unaweza ona ni jinsi gani mwanake anaumuhimu sana katika dunia hii! Yani hata kama technology itakuwa advanced kiasi gani katika maswala ya uzazi lakini bado mwanamke atahitajika tuu!! Na ndio maana inchi zinazo litambua hilo wanaweka sheria kali za kumlinda na kuheshimu mwanamke. Continue reading Heshimuni Wanawake enyi Mbuluraz!

Happy birthday Mama Manongi!

11210487_1119317438085370_8275898806121789442_nHappy belated birthday mama Manongi; Mungu akubariki sana akupe maisha marefu, yalio jaa upendo, amani, na afya njema. Continue reading Happy birthday Mama Manongi!

Family time-the Lyimos’

FB_IMG_1438807304740Picha nzuri sana ya familia safi sana ya Mr and Mrs Lyimo. Wanafurahia summer na wanao ndani ya San Francisco, California  2015-08-09 09.58.55Mbarikiwe sana wapendwa and enjoy your summer!

Saratani ya Shingo ya Kizazi

Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cells zilizoko  katika shingo ya kizazi.Mabadiliko haya hupelekea chembe chembe hizo kushamiri na kuzaliana kwa kasi kinyume na mpangilio wa maumbile.

Saratani ya Shingo ya kizazi yasemekana kuwa ni saratani ya nne inayoongoza kwa kusababisha vifo vya  wanawake katika nchi zinazoendelea. Repoti ya 2012 ya shirika la afya duniani ‘WHO’ imesema kuwa,kati ya matukio 75,000 ya waathirika wa saratani ya kizazi barani Afrika, 50,000 walifariki dunia.Namba za matukio haya zinawakilisha waathirika waliopata fursa ya utafiti na kuhesabiwa.

NINI KISABABISHACHO SARATANI YA SHINGO YA UZAZI?

Ripoti za utafiti wa kisayansi zimeafiki kuwa asilimia 99%  ya saratani za shingo ya kizazi hutokana na maambukizi ya virusi vya ‘Human Papillomavirus’ au HPV vilivyoko katika jamii ya papilloma. Baadhi ya virusi hivi vyenye aina zaidi ya mia moja huambukizwa kwa njia ya  kujamiana.  Soma zaidi

Nawatakieni weekend njema + prayer dedication

Wapendwa wasoma wangu, nawatakieni weekend njema, iliyo jaa upendo, amani, na furaha tele! Mbarikie wote katika jina la Bwana! Nyongo's familyPia naomba tukumbukane katika sara zetu, haswa naomba muwaweke my dearest friends (the Nyongos’) kwenye sara na dua zenu. Mtoto wao mdogo amefanyiwa surgery ya kichwa (aliye bebwa na mama yake). Lakini Mungu yu mwema, anaendelea vizuri sana kwasasa japo bado wako hospitali. Kwahiyo wapendwa muwakumbuke sana katika maombi yenu.  Fina With Georgina FaithSijaweka picha ya surgery ya mtoto kwasababu sina huwakika kama ni sahihi kuiweka. Nitaongea na wazazi kwanza wakiniruhusu nitashare nanyi hapa.

Fina and Aidan, God will never give you a storm that you cannot handle! Alijua, anajua, na anaelewa kuwa haya mnayopitia mtayaweza kuyamudu kwani nyinyi mnamuamini na kumtegemea yeye peke yake!! As once I told my cousin-sister Anna Nyaronga that God always chooses the strongest among us to handle the biggest storm! Anajua siye wengine ni dhahifu  na wanyonge, wepesi sana wa kukata tamaa, anataka tujifunze kutoka kwenu nyie mlio mashujaa wa imani. Hivyo msifadhahike myoyo  just keep your faith and He’ll surely show you He’s God the author and creator of this world! Don’t tell God how big your storm is because nothing is too big for Him to handle!

Weekend njema wapendwa…….Our God is awesome!

Hot shot of the day

FB_IMG_1438963514104-1Dr. Magufuli akiendeleza mila na desturi ya muziki wa Mtanzania. Nice!

Re-post: Tulinde na kuheshimu watoto!

37fb5fcf6862e8593c7aa1d1cc2db4f1Kusema kweli nimesikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya Watanzania kumdhalilisha mototo wa Flora Mbasha. Naomba niseme mimi binafsi simjui Flora wala mumewe-Mr. Mbasha, na wala sijawahi kusilikiza nyimbo zake. Nilitokea kujua habari zake kipindi walipo kuwa na migogoro katika ndoa yao. Hapo ndipo nilianza kusoma habari zake na kuangalia mahojiano kadhaa ambayo alikuwa amefanya huko nyuma na baadhi ya TV shows. Hivyo ninayo andika hapa si kwamba namfahamu Flora au mumewe la hasha! Ni kwasababu ndivyo inavyo takiwa tufanye.

Kutokana na maneno ya watu kuwa huwenda huyu kichanga aliye zaliwa yawezekana asiwe mototo halali wa ndoa ya Flora na muwewe Mbasha kwa kuwa ndoa yao inamigogoro na kwa sasa wametengana. Basi wengi wamehoji nani ni baba halali wa mototo huyo. Cha kusikitisha zaidi wamenda mbali na kuweka picha yenye sura ya Flora, Mbasha (mume halali wa Flora), Gwajima (mtu anaye semekana ni Mchungaji na pia ana sadikika kuwa ndiyo baba wa mototo huyo), masikini piya sura ya kichanga hicho nayo imewekwa! Watu wote, wa mama kwa wababa, wakaka na kwa wasichana wote wanaandika comments za kudhihaki na kukebehi chini ya picha hiyo. Hizo comments nyingine zimewalenga wazazi, zingine zimewalenga washtumiwa, na zingine zinamlenga mototo huyo moja kwa moja! newborn-baby-african-american-black-25222751Mimi binafsi, nalaani vikali kitendo hicho cha kumdhalilisha mtoto wa Flora. Nakiita ni kitendo cha kinyama na ukatili wa hali ya juu. Children should be protected, and treated with the highest respected level of humanity regardless of how they entered this world!! Si Yesu ndio aliyesema “waacheni watoto wote waje kwangu maana ufalme wa Mbingu ni wao?!” Yesu hakubagua watoto, aliwaita wote kwake, sasa kwanini sisi tunabagua watoto? Matter-of-fact, children should never be the victim of their parents’ wrong deeds! Haijalishi mimba yake ilitungwa na wababa wawili, au ilitungwa mbele ya Madhabahu, au Msikitini, au ilitungwa kwenye majani porini, it doesn’t matter, and it should never matter; watoto wote wanatakiwa kulindwa na kuheshimiwa period!

Ni jukumu letu sote kama raiya wa hii dunia kulinda na kuheshimu watoto. Nandio maana nimeamua kuliongelea swala hili kwa uwazi katika blog hii. Hapa machozi yananitoka. Ndiyo, nalia! Kwasababu kwanza mimi ni mama, hivyo mototo huyu anaweza kuwa mwanangu wa kumzaa, au mjukuu wangu. Mimi ni dada, hivyo mototo huyu angeweza kuwa my niece or nephew! Jiweke kwenye miguu ya Flora, jaribu kuvaa viatu vyake kwa dakika moja, je ungekuwa wewe ungejisikiaje kuona mototo wako ambaye ndo kwanza amezaliwa katika hii dunia, hajui hata “social media” anadhihakiwa, na kudhalilishwa kwa namna hii?! Je, wewe ni mkamilifu? “Na asiye na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe!” Mungu atusamehe kwakuwa hatujuli tulitendalo. Tulinde na Kuheshimu Watoto. new_baby_card_9Sing along with me…………….

Jesus loves the little children………..All the children of the world
Red and yellow, black and white………They’re precious in his sight
Jesus loves the little children of the world

Jesus cares for all the children……….All the children of the world
Black and yellow, red and white……..They’re all precious in His sight
Jesus cares for the children of the world

Jesus came to save the children………All the children of the world
Black and yellow, red and white………They’re all precious in His sight
Jesus came to save the children of the world

The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything.”-Albert Einstein

Hot shot of the day

2015-08-06 00.37.33The Gachumas’! Sister-sister! Beautiful Eddah Mwita Gachuma (left) owner of Eddah Elegant Catering with her cute elder sister Gatty Mwita Gachuma. 11011647_447447595430980_4563369154803386768_nSister Eddah ni mpishi mmoja mzuri sanaaaa yani anatingisha jiji la Maryland au niseme DMV yote! Ndo hapo ujiulize Mkurya kajifunzia wapi kupika 🙂 🙂  Yani vyakula vyake ni vitamu vyenye ubora wa kimataifa, halafu sasa anajua ku-present her food! Jinsi anavyo kipamba na usafi wa hali ya juu utapenda mwenyewe! Wamarekani wanaweka order za kupikiwa kwenye events zao kubwa kubwa, anapikia ubalozi, na international organizations zingine zikiwa na function.

Jinsi anavyo vuma ilibidi nimtafute nikafanya mahojiano naye ilikujua alijifunzia wapi, na nini future ya Eddah Elegant Catering. Siku yakiwa teyari nita-share nanyi humu. Ila inabidi mnivumilie kwani Editor kabanwa sana na ukiongeza na maringo ya Kihaya inabidi niwe mpole mwenyewe 🙂 🙂 🙂 msihofu, vitu vizuri havihitaji haraka!

Kuona sample ya vitu anavyo fanya ingia hapa

Da Eddah vyakula vyako nitakula sana tuu kwani ni vitamu mmno ila gari lako sipandi ng’o! Kufa sijafa lakini chamoto nilikiona 🙂 🙂 🙂 🙂

 

 

Afya ya meno: Dr. Talib Ali wa Avatar Dental Care

Dr. Talib Ali ameshauri  kutumia Sensodyne kuwa ndiyo dawa bora. Jamani hata mie nashuhudia hiyo ndiyo dawa pekee ambayo mie natumiaga. Nilishauriwa nilipo kuwa Bongo miaka mingi sana pale Muhimbili kwasababu dawa zingine zinaniumiza sana meno yangu. Nashukuru Mungu imenisaidia sana na siwezi tumia dawa nyingine!

Maji ya bomba mie yamenishinda  jamani, radha yake ni shidaaa! Lakini kumbe ndiyo mazuri………….interview nzuri sana, chukua muda wako kuangalia wala huta juta!

Happy 4th birthday George Jr

2015-08-05 22.49.10Happy belated 4th birthday Jr! I hope your birthday cake was 4 times bigger than the biggest cake in the world with four big-brightest candles to blow out ? wishing you nothing but the best of all! 2015-06-24 21.02.02Our little G boy turned 4 today(August 3rd). We remember the first time we saw him, that is the moment when reality hit: We’ve created a little being and he’s growing inside me at this very moment. There is no greater, scarier feeling except for when that little being is born. That feeling intensifies ten-fold. It’s amazing to watch this beautiful little boy grown from a tiny little infant to the independent little boy he has become. In the blink of an eye, our little man turned One, then Two, then Three. Today he’s Four! What happened to our baby? We can do nothing to stop the time from passing, but we know that I can cherish every moment he is learning, growing, loving, caring, playing, exploring, and smiling. Happy birthday G Boy. We ♡ you and hope that someday you can experience as a parent the magic, wonder, excitement and endless unconditional love you have brought to our lives. ‪#‎ThankyouLordforYourBlessings‬#………………….what a loving msg from mama and baba ‘double G’! God keep blessing you guys  ?

N.B: all photos credit to E.M photography

Birthday wishes

FB_IMG_1438751985015Happy belated birthday to Missy LB! Wishing you nothing but the best of all! FB_IMG_1438752056085Linda enjoyed her 43rd birthday with her loving family and friends. In the picture is Linda with all her children: 1st born -Leyla, 2nd born-Brenda, 3rd born-Mariam, and last born-Marlinda FB_IMG_1438787818246Elegant and Gorgeous! FB_IMG_1438751971901Awiw! Aren’t they cute!! God bless you guys!  Continue reading Birthday wishes

MAJI NI UHAI!

Kama picha hii inavyoashiria, hardhi bila maji hunyauka na kupasuka. Karibu asilimia 60 hadi 75%  ya mwili wa binadamu, imetawaliwa na maji. Japo kiwango cha maji hutofautina kutokana na umri au maumbile mwili uliokosa  maji ni tisho kubwa la uhai.

Je Wajua Yafuatayo?
FAIDA ZA MAJI MWILINI
  • Kurahisisha usagaji wa chakula na upataji wa choo
  • Kupunguza hatari za kupata mawe kwenye figo
  • Kupunguza maumivu ya arthritis, viungo na kupunguza kuugua maumivu ya mara kwa mara kwa wagojwa wa circle cell
  • Kuondoa sumu mwilini au toxins
  • Kurutubisha ngozi ya mwili
  • Kupunguza mwili

DALILI ZA KUPUNGUKIWA MAJI MWILINI

  • Ukosefu wa mkojo au mkojo ulio wa rangi nzito ya njano
  • Tatizo likiwa sugu mgojwa hupata maambukizi ya vijidudu vya njia ya mkojo (UTI) Mara kwa mara
  • Kiu
  • Kupasuka kwa midomo mikavu
  • Uchovu
  • Maumivu ya kichwa
  • Mapigo ya moyo yenye kishindo kikubwa
  • Kizunguzungu,kuchanganyikiwa na kuzorota (hasa kwa wazee)
  • Kupoteza fahamu  Soma Zaidi

Congratulations LB

FB_IMG_1438788092133Award winning fashion designer Linda Beuzenhount is featured in Euriel Global magazine of June, 2015  FB_IMG_1438788154289The magazine is published every month by Eariel Global Network based in Atlanta, Georgia FB_IMG_1438788107195Linda shares her joy with her beautiful daughter Marlinda. Such a lovely picture! FB_IMG_1438788142173Loving husband and Manager always there by her side! Once I again, congratulations Missy LB, well done!

Pink Sisters Fundraising Gala by TBCF

11855610_833507293414337_4433199489430376421_n

Kutoka Facebook

2015-08-04 13.41.35Leo nimependa sana hii picha. Ma watatu kama apendavyo kujiita, ni mama wa lile jeshi la 3 soldiers, wale watoto handsome twin boys na mdogo wao mmoja. Wajina wa mama yangu umependeza sana. Kweli wakina Cecy ni wanawake warembo sana na wanahekima nyingi! Ubarikiwe mpendwa.

Why You Should Never Give a Tanzanian Woman your Credit Card

So 2015 is off to a good start. I feel pretty good about the choices I have made so far. Yes I know. Its only February.  So today I was thinking about the decisions NOT to make this year that I made in 2014. As I pondered and reminisced any poor decisions I had made, I realized that most were made under the influence of Vodka.  Which is why you will not catch me dead drinking Absolute, Smirnoff, Ketel, Svedka or even Belvedere.  There is even Vodka called “Zombie Apocalypse”.  That should send you a message. Bad shit happens when you drink Vodka. In fact, if you know anyone who is still drinking vodka and has not had to raise bail money, you should tell him to stop drinking that shit with immediate effect! Vodka is the reason why women fail pregnancy tests, the reason why men wake up with black eyes and Mercedes SUVs collide with the neighbor’s mailbox somewhere in Allen, Texas. Sorry Musyoki, no one bought that story about the mailbox growing legs and colliding with your Benz. Anyways, I have eliminated half of the bad decisions I will make this year by quitting Vodka. I have instead switched to Crown Royal. We shall examine the validity of that decision next year. However, there is one mistake I made in 2014 that was not made under the influence of any alcohol. In fact, calling it a mistake is an understatement. It was a blunder of magnanimous proportions. My friend, I gave a Tanzanian woman my credit card. Not just any credit card. I gave her my American Express. 0925-larenz-tate-amex-tmz-4 Continue reading Why You Should Never Give a Tanzanian Woman your Credit Card

Kutoka Facebook

FB_IMG_1438366242340Leo kutoka Facebook na wale tea hizi picha za mrembo Neema. Kikazi zaidi si unaona wiki ndiyo imeanza. FB_IMG_1438366249075Kapendeza kwakweli! Haya nawatakieni wiki njema na kazi njema bila kushahau kwenda kujiandikisha kupiga kura. Mbarikiwe sana.

Nawatakieni weekend njema

FB_IMG_1438367224302Wishing you all a very lovely weekend! Read that quote carefully and have a blessed weekend ?

Hot shot of the day

FB_IMG_1438367317438Mh. ShyRose Bhanji alipotembele wagonjwa wilayani Rorya. Amesema ni hospital ya Mission, ambayo wengi tunaijua kama Kowak Mission hospital! Nimefurahi sana, kwani  marehemu babu yangu mzaa mama alifanya kazi hapa miaka hiyo ya 40s Enzi za wa-missionaries! Pia mie nimetibiwa sana hapa kwasababu nilikuwa nasoma Kowak Girls Secondary school ambayo nishule inayo milikiwa na missionary ya Roman Catholic na hospital ni moja ya himaya yao!

Asante sana dada yetu kwa kuonyesha upendo kwa vitendo. Ubarikiwe sana.

Blog