“Schoolbag lighting up homes”

Screenshot_2016-08-31-21-57-04-1Screenshot_2016-08-31-21-55-22-1Screenshot_2016-08-31-21-55-36-1Screenshot_2016-08-31-21-55-52-1Screenshot_2016-08-31-21-56-02-1Screenshot_2016-08-31-21-56-23-1FB_IMG_1472436063790What a brain!  Congratulations to all the brain behind “Mobile Library”. Your faith and determination is what will change the lives of many underprivileged students in Tanzania. You are an inspiration to many! Congratulations!

Source: CITIZEN

Mother and son moment

Screenshot_2016-08-31-11-29-45-1Joyce Kiria akiwa na kijana wake……… Pendeza sana

Baadhi ya maoni ya Watanzania kuelekea Sept. Mosi #UKUTA

Screenshot_2016-08-30-21-22-33-1Screenshot_2016-08-30-21-23-05-1Screenshot_2016-08-30-21-23-23-1-1Screenshot_2016-08-30-21-23-40-1Screenshot_2016-08-30-21-24-09-1Screenshot_2016-08-30-21-24-44-1Screenshot_2016-08-30-21-24-56-1Screenshot_2016-08-30-21-25-44-1Screenshot_2016-08-30-21-25-54-1Screenshot_2016-08-30-21-26-03-1Screenshot_2016-08-30-21-26-23-1Screenshot_2016-08-30-21-26-34-1Screenshot_2016-08-30-21-26-44-1Screenshot_2016-08-30-21-27-10-1Screenshot_2016-08-30-21-27-22-1FB_IMG_1472436063790Haya, hayo ni baadhi tu ya maoni ya Watanzania kuhusiana na kile kinachotakiwa kutendeka tarehe Moja September, 2016 #UKUTA ……….! Naomba usome kwa faida yako mwenyewe na ufanye maamuzi yaliyo sahihi …..!!! Mungu ibariki Africa. Mungu ibariki Tanzania……..??

Kutoka Facebook

FB_IMG_1472582415343Mwajuma (Queen’s land a.k.a UK)………. Kapendeza, simple make upScreenshot_2016-08-30-11-29-03-1…….AND I aaaaaaaa Will always love You uuuuu  (in Whitney Houston’s voice)……. Wamenoga sana
FB_IMG_1472580517382Ashura (Georgia)………. Nimependa sana muonekano wake. Kapendeza sana

“At the time when unity is so desparetely needed it is significantly lacking” Iynla Vanzant

Screenshot_2016-08-30-13-13-37-1

Hot pic of the day

Screenshot_2016-08-30-11-56-07-1Linda Bezuidenhount akiwa huko NY katika business trip napia kum-support rafiki yake (KK) ambaye pia ni partner wake kwenye new clothing line ijulikanayo kama ID´EAL wakati alipokuwa anafanya surgical procedure kwa mwili wake! …….amependeza sana. Kutoka na maneno yake yeye mwenyewe amesema amekata na kushona hii jumpsuit ndani ya masaa mawili ??

Picha katika 50th wedding anniversary ya Mr and Mrs Mkapa

FB_IMG_1472582177566FB_IMG_1472582053698 Wajukuu wakiwa na nyuso za furaha wakisubiria kushudia historia ya maisha ya ndoa ya bibi na babu.FB_IMG_1472581909432Familia ya mzee Mkapa ikiwa katika ibada takatifu ya shukrani kwa Mungu katika kuwawezesha wazazi wao kudumu katika angano takatifu kwa miaka 50! FB_IMG_1472581935013Mr and Mrs Mkapa wakiingia kanisani huku wakisindikizwa na watoto wao, in-laws, na wajukuu wao!
FB_IMG_1472582195775-1Wakiombewa na kuvalishana pete ya nadhiri ya miaka 50 FB_IMG_1472581863184Wow! Walipokea cheti maalum toka kwa Papa huko Vatican! What an inspirational event! God bless them abundantly FB_IMG_1472581915382Mambo ya kumbu kumbu
FB_IMG_1472581927971FB_IMG_1472582028994“kodaki” moments kutoka kwa wanafamiliaFB_IMG_1472582170506-1 FB_IMG_1472581967246 Wakisalimiana na ndugu, jamaa, na marafiki kutoka pande zote. Na hapa namuona mstaafu Major General G. Waitara na mkeweFB_IMG_1472581962829 Viongozi mbali mbali wa serikali na dini walikuwepoFB_IMG_1472581947780 Mzee Mkapa akiongea na wageni waalikwa FB_IMG_1472581920432 Watoto, in-laws, na wajukuu waki share cake ya kheri ya miaka 50 ya ndoa  FB_IMG_1472581885545Rais aliyestaafu hivi karibuni Mr Kikwete na mkewe nao walikuwepoFB_IMG_1472582021767Wana familia FB_IMG_1472582005198-1Watu walipendeza sana FB_IMG_1472584021583FB_IMG_1472581885545FB_IMG_1472581989616-1FB_IMG_1472584042266FB_IMG_1472582221172Safi sana!……… Tunawaombea na kuwatakia kheri siku zote ili tuje tushuhudie their ‘Diamond’ anniversary! ………….. Btw, Happy 13th Wedding Anniversary to you Foster and your darling! 37 more years to go to celebrate that “golden” moment! All the best!

“Through that loss it’s also possible to find yourself” -Iyanla Vanzat

Screenshot_2016-08-30-13-16-12-1FB_IMG_1472436063790Ujumbe mfupi lakini ni mzito sana! “In this journey called life, it is possible to lose everything. Through that loss it’s also possible to find yourself”!!…………. Watu wengi (including myself) tunapoteza muda mwingi kuwaza kwanini hiki kinatokea kwangu? au kwanini hawa watu wananitenda hivi? Badala ya kufikiria ni nini natakiwa nijifunze katika hili lililo nikuta?? ………. Wiki iliyopita kuna rafiki yangu wa muda mrefu sana. Tunaheshimiana sana na huwa  I considered him as a “brother figure” to me, baada ya jitihada nyingi za kunitafuta alifanikiwa kunipata wiki iliyopita na tukaongea kwa simu. Moja ya swali alioniuliza ni mbona nime keep a distance from him! Nikamwambia nimesikia mara nyingi kutoka kwa wahenga kuwa ukitaka kuwa imara basi jifunze kusimama mwenyewe!! Nikamwambia nahitaji kuwa imara ili niweze kusonga mbele na kufikia kile ninacho kiamini kuwa ni ndoto zangu! Akanishangaa!!…… Anyway, ninachotaka kusema ni kwamba; katika safari hii ya kutaka kufanikisha ndoto zangu nimekutana na vikwazo vingi sana toka kwa ndugu wa karibu pamoja na wale niliyo amini kuwa ni marafiki zangu! Nime kuwa betrayed multiple times na watu ambao hata sikuweza wafikiria kuwa wangeweza fanya hivyo! Katika safari hii ya kutaka kutimiza ndoto zangu nimepoteza marafiki wengi sana!! Nimetumia muda mwingi sana tena sana KULIA NA KUJITIA! Kutwa nilikuwa najiuliza kwanini? And why me?! Lakini namshukuru sana Mungu kwani katika kulia huko na hali ya kukata tamaa akanipatia nguvu za kusonga mbele. Katika hali hiyo hiyo ya kulia na kuhuzunika I found my own strength!!! Kitu ambacho hapo mwanzo sikudhania kuwa ninacho! Nilikuwa nategemea sana tena sana emotional support ya familia, ndugu, na marafiki kama my strength!! Bila kujua kuwa hata familia yako wakati mwingine inaweza isisimame nawe vitani!!! Bila kuwaza kuwa hata ndugu zako wanaweza kuwa maadui zako!! Bila kufahamu yakuwa watu wengi tumezungwa na maadui wengi waliopo karibu yetu chini ya mwanvuli ujulikanao kama “close friends”!!……….. Katika changamoto hizi ambazo nimepitia I found myself!! Nimejifunza kuwa ni kweli you don’t need a crowd of people to be happy!! “In this journey called life, it’s possible to lose everything. Through that loss it’s also possible to find yourself”!!…….. Vipi wewe mwenzangu, have you found yourself au bado unaangaika na the feeling yakutaka kuwa accepted na watu ambao wana ku- betray na kukuzibia mibaraka yako ambayo Mungu anataka kukubariki nayo?!! Tafakari!!

Happy birthday Francisca and Faith!

Screenshot_2016-08-30-13-28-14-1FB_IMG_1472436063790Nimependa huo ?ujumbe toka kwa Foster kwenda  kwa ndugu zake katika siku yao muhimu! Kilicho nivutia zaidi kwenye ujumbe huo ni namna ya uhusiano wao jinsi ulivyo kama ndugu!………. Unajua kuishi nje ya Tanzania kume minifumbua macho kwenye mambo mengi sana haswa katika maswala ya familia na undugu! Nyumbani Tanzania watu wengi wanaishi maisha ya “kinafiki” sana pale inapokuja swala la kuwa mkweli na hisia zako haswa kwa watu wako wakaribu! Yani kumwambia au kusema ukweli kwa watu wako mara nyingi inachukuliwa kuwa ni “chuki”!!  Wakati wenzetu wanaamini kuwa if you truly love and care for someone lazima utataka ajue ukweli!! And family is not family if one can not be honest to his / her feelings without the fear of rejection!!……… Nimependa alivyosema wamezinguana sana lakini usije jaribu kumchokoza mmoja wao ?? ………..Anyway, hakuna familia iliyo kamilika hapa dunia kila moja inamapungufu yake! Na kugombana kwa wanafamilia sio mwisho wa undugu au kuondokewa kwa upendo miongoni mwao!! Kumbuka damu ni nzito kuliko maji…………….!!Screenshot_2016-08-30-13-28-14-1-1 Happy birthday Francisca Wandiba na Faith Kalanje. Mungu awape uhai mrefu na afya njema!!

Neema ndani ya Tanzania! Je tupo salama?!!

FB_IMG_1472436063790Haya, Mungu hamtupi mja wake! Na mwenye nacho atazidi ongezewa! Baraka ndani ya baraka katika nchi yenye madini ya pekee duniani (Tanzanite) kote! Hivi karibuni tuliongezewa mibaraka mingine ya ⛽ ⛽ (gas), Mungu akaona hapa nyie wana wangu nawapenda sana mmekuwa wavumilivu miaka mingi mno! Sasa ni zamu yenu; pokea mbaraka mwingine wa mafuta (oil) mjifute kabisa katika nchi masikini duniani………!! Je hii mibaraka viongozi wetu wapo teyari kuipokea kwa unyenyekevu kutoka kwa Mungu na uzalendo mkuu kwa nchi yao?!! Je tupo salama?? Amani yetu ambayo ni nguzo kuu na msingi wa nchi yetu itabaki imara au tuanze kujaza fomu za ukimbizi?!! Mimi sijui bado natafakari!!…………. Embu soma habari hii kisha soma baadhi ya maoni ya watu hapo chini……. ? Screenshot_2016-08-30-14-38-54-1-1 Screenshot_2016-08-30-14-38-54-1 Screenshot_2016-08-30-14-39-09-1 Screenshot_2016-08-30-14-39-17-1 Screenshot_2016-08-30-14-39-29-1Screenshot_2016-08-30-14-40-14-1Screenshot_2016-08-30-14-40-06-1

MUNGU IBARIKI AFRICA. MUNGU IBARIKI TANZANIA………….!!

Cheka uongeze siku za kuishi

IMG_20160830_150011IMG_20160828_215025-0-1IMG_20160830_150938

“USHABIKI WA VYAMA VYA SIASA NI TOFAUTI NA USHABIKI WA VILABU VYA MICHEZO.” – Peter Sarungi

FB_IMG_1471977078685Na Peter Sarungi (Next Speaker)

Nakumbuka tangu nilipoanza kufuatilia mchezo wa mpira wa miguu nikiwa darasa la kwanza katika shule ya walemavu (Salvation Army) sijawahi kuhama Yanga pale nilijikuta nafurahia timu ya Yanga chini ya wacheza nyota kipindi hicho kama lunyamila, chambua, mohamed machinga na wengine wengi. Desturi ya ushabiki wa vilabu vya michezo katka historia ya soka inaonesha kuwepo kwa uvumulivu wa hali ya juu kutoka kwa mashabiki wa vilabu hasa pale wanapo boronga au hata kushuka daraja (mfano kwa sasa Arsenal na Liverpool). Mashabiki hushangilia timu husika iwe kwa shida ama kwa raha yaani wafungwe ama washinde bado ataendelea kuwa mshabiki wa timu husika. Hivyo ushabiki wa vilabu una lengo moja la kupata burudani pale timu inaposhinda.

Kwenye siasa hali iko tofauti kabisa. Siasa inagusa maisha ya kila siku ya mwananchi katika nchi. Siasa inawagusa watoto, vijana, wazee, wakulima, wavuvi, wachimba migodi, wafanyakazi, wafanyabiashara, walimu, masikini, matajiri, wanasiasa na makundi yote katika jamii. Kila mwananchi na kila jamii inaguswa na maamuzi ya kisiasa katika nchi kwa namna fulani yaani kila unachokifanya kinawezekana kwa sababu ya mazingira ya kisiasa. Lengo la siasa sio kupata burudani kama ilivyo kwa timu za michezo bali ni kuboresha maisha ya kila siku ya mwananchi.

Kwa utafiti wangu nimegundua watanzania wengi wanafananisha ushabiki wa vilabu nya michezo na ushabiki wa vyama vya siasa. Hali hii ni hatari sana kwa ustawi wa siasa na demokrasia katika nchi. Mara nyingi unamkuta mtu ana kuwa mfuasi wa chama cha siasa mpaka anapata upofu wa fikra yaani hata kama chama chake kinaboronga katika kuboresha maisha yake bado atakuwa mkaidi na mwenye kutetea chama. Hii hali imefanya watu wasomi na wenye heshima zao kuweka usomi wao mfukoni ili kutetea maslahi ya chama, hata haki ya kuhamia chama fulani inakuwa ni fedhea kwa mtu mpaka anaitwa majina mengi kama msaliti, mroho, malaya wa siasa. Yaani unapohama ni shida na unapohamia napo shida ipo, huu ni ushabiki wa Vilabu vya mpira, sio wa vyama vya siasa. Aina hii ya ushabiki wa vilabu katika siasa ndio sababu ya kuwepo kwa uadui kwa mashabiki na unagawa taifa kwa majina ya kejeli kama vile ndugu yangu Magoiga SN anavyowaita upande wa pili NYUMBU na Ben sanane anvyowaita upande wa pili FISIEMU. Ushabiki huu ndio sababu ya kupata baadhi ya wabunge ambao hawana sifa, uwezo wala weledi ya kuwa viongozi lakini wanachaguliwa kwa sababu ya ushabiki huu wa ovyo kabisa.

#Mytake. Unapokuwa mfuasi wa chama fulani ni vizuri ukaangalia maslahi yako na ya wapendwa wako kama yanapatikana kabla ya kutetea maslahi ya chama lakini vilevile tusishangae tunapo mwona mwanasiasa anahama kutoka chama kimoja na kwenda kingine jua anatafuta falsafa inayomfaa. Tusitukanane wala kuitana majina ya ajabu kwa kwenda upande fulani.

Asanteni sana

Kutoka Facebook

FB_IMG_1472415971949 beautiful babies……..ni watoto wa Christina Silasi sema sikupata majina yao ……..nimependa their swagFB_IMG_1472401230491The newly wed, Mr and Mrs Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji…….. Wamependeza sana
FB_IMG_1472332984748Those ‘golden’ moments that bring peace to many! FB_IMG_1472401832573Mr and Mrs Mkapa golden wedding anniversary………walipendeza sana  IMG_20160828_214930-0Elizabeth (Moshi) nimependa sana vazi lake la Batiki limempendeza!

Amani! Amani! Amani! Ndiyo nguzo ya Tanzania!

FB_IMG_1472404915202FB_IMG_1469659269564Watu walio starabika utawajua tu kwa matendo yao! Yana ng’aa hata gizani!! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!! Kwakweli mzee Lowassa na mke wake ni watu wastarabu sanaaaaaa! Hawa ni watu ambao hawajazoea “drama” hata kidogo! Ni watu wa kujishusha. Haya mambo mengine ni watu tu wanataka kuwalazimisha lakini sio asili yao! Unajua kuna watu  ni wastarabu wa mavazi tu! Yani ukiwaona utafikiri tabia na roho zao zinaendana na mavazi yao ya kitanashati!! Kumbe ovyo kabisa!! ……….anyway I love this picture a lot! Siasa sio uwadui na wala sio chuki zisizokuwa na kichwa wala mguu!! Tunataka democracy ndani ya Tanzania lakini hatuwezi kuvunja nguzo yetu kuu (amani) halafu mkafikiri tutakua salama baada ya hapo!! Nope! Pindi tutakapo jaribu vunja amani ya nchi yetu basi tuhesabu maumivu! Haitokaa irudi tena! Niambie nchi gani ambayo imechezea amani ya nchi yao nawakaweza irudisha???!! Amani! Amani! Amani! Ndiyo nguzo na msingi wa Tanzania!!

Hot pic of the day

FB_IMG_1472356227149FB_IMG_1472356233700-1 FB_IMG_1472356221241FB_IMG_1469659269564Wow! Wow! Wow!  Aren’t they cute! A-MA-ZI-NG!! How great thou art!! To Him be the glory ?? ………………. Mungu awalinde hawa watoto pamoja na wazazi wao awahepushe na mapepo mabaya ya hii dunia wasije umizwa na mtu au kitu chochote!

Cheka uongeze siku za kuishi!

Screenshot_2016-08-28-11-20-25-1-1?? LOL!.,,.,, utani pembeni, Wamependezaje sasa!! Too cute!

“Tulaani kila mtu atamkae mwita albino Zeruzeru”- TAS Temeke

FB_IMG_1472416177028
Christina Silas, gorgeous!

FB_IMG_1472416105764-1-1FB_IMG_1469659269564Katika pita pita yangu huko Facebook nikakutana na huo ?ujumbe/ angalizo!……… Nimuhimu sana watu kujifunza kuwa kila kiumbe chenye uhai kina hisia na kinafaa kuheshimiwa!! Katika jamii yoyote ile iliyo staarabika, wenye watu wenye kujitambua na yenye busara huwezi kuta hata siku moja wakiita binadamu kulinganga na ulemavu wao, rangi zao, au mapungufu yoyote yale walionayo! Hata Adam na Hawa baada ya kukaidi amri ya Mwemyezi Mungu hakuwaita majina tofauti na yale walio nayo! Sasa sisi kwanini tunapenda ku  label watu? Tena watu wengi sana in Bongoland wanfikiria its OK to label people as the society has “legalized” it!!! ………………..FB_IMG_1472416192887 FB_IMG_1469659269564Hili angalizo linanikumbusha my childhood life!……… Nilipokuwa mdogo nilipata matatizo ya meno ikabidi nitolewe meno yote ya juu na baadhi ya chini. Kwabahati mbaya meno yangu yalichelewa kuota mpaka nakaribia darasa la pili (Std 2). Sasa basi yani harassment that I used to get at home was huge  compared to what other students teased me at school!! Yani nilikuwa hata nashindwa kuongea na ndugu zangu saa zote nikitaka kufungua mdomo niseme kitu utasikia mtu ananicheka na kuniita “mapengo”!! Yani hata saa nyingine mtu badala ya kukuita jina lako utasikia anakuita “wee mapengo”!! Halafu kana kwamba hiyo ilikuwa haitoshi nikawa nafananishwa na bibi yetu fulani (sasa hivi ni marehemu) huko kijijini Utegi ambaye alikuwa na matatizo ya meno hivyo meno yake yote yaling’oka (hakuwa na meno). Napia alisadikika kuwa na sura mbaya!!! Hivyo badala ya kuniita jina langu wakawa wananiita jina la huyo bibi pale walipo ona nimekosea kitu au wakitaka kuniudhi or just to make funny of me kwani walikuwa wakisema I look exactly like her!!! Trust me, hivi vitu vinauma sana tena sana especially when you are just trying to enjoy your childhood like other children and all you can think is someone watching my mouth? So am I really ugly as they say it?!!………FB_IMG_1472416160942-1FB_IMG_1469659269564Honestly these type of abuses need to end!! It’s not cool, not funny, it is wrong in all levels!! It kills people’s self esteem!! ……….. kitu ambacho sijakielewa kwanini TAS waone nisawa kuitwa “albino” ? Lakini si “zeruzeru”? Kwani kiswahili cha “albino” ni nini au mie ndo sielewi?!……………. Anyway, regardless, we have to respect and honor their wishes!! The name is offensive to them then people need to stop using it whether unaelewa kwa nini au la! Jukumu lako nikuacha kulitumia na si kujua kwanini!! Na ujifunze kuwa na UTU wa kuwaita watu kwa majina yao halisi na sio kutokana na ulemavu wao!!quote-i-m-very-proud-to-be-black-but-black-is-not-all-i-am-that-s-my-cultural-historical-background-denzel-washington-30-76-58

EALA has passed a motion to make Swahili an official language to the EA Community!: by Hon. Shy-Rose Bhanji

FB_IMG_1472401262385
Hon. Shy-Rose Bhanji, EALA MP

EALA in Arusha: it gives me great pleasure to inform you that EALA has passed a motion to make Kiswahili an official language of the East African Community.

This motion was undertaken thru the collaboration of 3 EALA MPs: Hon. Aboubakar Zein from Kenya, Hon. Shy-Rose Bhanji and Hon. Abdullah Mwinyi from Tanzania. It has been my long outstanding desire, dream and ambition to promote Kiswahili as one of the official languages of the EAC. For its polularity among East Africans and extensive impact in various fields of daily life, Kiswahili is core and integral to the EAC integration and a big asset to make it people centred and market driven integration. FB_IMG_1472401262385I feel more than happy to have been part of this important Team to canvas and lobby for the promotion of this historical motion. Special thanks go to the Speaker of Eala Rt Hon. Dan Kidega for his his approval and the leadership on this noble agenda which we owe to the people….This motion won the hearts and minds of Eala members overwhelmgly. We owe them a lot of gratitude and appreciation.

It is our strong conviction that the Heads of State of EAC will endorse this motion to enable the amendment of the EAC Treaty which has only English as the official language. #EAC #OnePeopleOneDestiny #UmojaWetuNiNguzoYetu

FB_IMG_1469659269564Hongereni wabunge wa Africa Mashariki kwa uwamuzi huu! Ni jambo la kujivunia sana. Natumaini wengi wetu sasa tutahamasika kujifunza Kiswahili fasaha kwa faida ya jumuiya yetu na hatimae kiwe ndio lugha kuu ya bara la Africa!

Happy golden wedding anniversary Mr and Mrs Mkapa!

FB_IMG_1472401832573FB_IMG_1469659269564Hearty congratulations to Mr and Mrs Mkapa for the golden jubilee! Many good wishes to celebrate this life time moment, and good luck for another 50 years that come your way!!! Happy wedding anniversary!!FB_IMG_1472401843652I love Mama Mkapa’s dress……..beautiful!FB_IMG_1472333014462Wow! Lovely!FB_IMG_1472401966097 FB_IMG_1472401877622 FB_IMG_1472401858083 FB_IMG_1472401786106“Happy 50th Wedding Anniversary Bibi Anna and Babu Ben. May you live to see 50 more. We love you, pray for you and thank God for all his goodness. You have given us hope that it can be done. Congratulations” Foster M.M

“Prayer for all the singles”

Prayer for all the Singles  FB_IMG_1472063447711Heavenly Father, thank you for being so amazing, for always being there for me. Lord you know how I feel and how much I wish to finally encounter the right one. I know I have to be patient because it’s all in your timing but dating is ruthless. I get approached by all the wrong ones, yet the one I desire is non-existent. Is this person out there? Have you really set someone apart just for me? It’s breathtaking to know I’m that special to You. My Father give me strength to ward off the ones who don’t deserve me, discernment to embrace the one that does. My Jesus guard my heart against the plans of the enemy and of the pawns he uses to make me fall. Give me your wisdom to see beyond the enemy’s seduction and to know when the sweet words are empty promises. Each day I’m growing stronger in you, slowly maturing and understanding my place in this world. Protect me from setting my eyes on someone who will destroy that. Amen.

Blog